10 Kwa maana kabla ya siku hizo hapakuwa na mshahara wa wanadamu;+ wala hapakuwa na mshahara wa wanyama wa kufugwa; na kwa yule anayetoka na yule anayeingia hapakuwa na amani kwa sababu ya adui,+ kwa maana nilizidi kuwatupa wanadamu wote mmoja juu ya mwingine.’+