-
Marko 5:30Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
30 Mara, pia, Yesu akatambua ndani yake mwenyewe kwamba nguvu ilikuwa imemtoka, naye akageuka huku na huku katika ule umati na kuanza kusema: ‘Ni nani aliyegusa mavazi yangu ya nje?’
-