Marko 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mara moja Yesu akahisi ndani yake kwamba nguvu+ zimemtoka, akaugeukia umati na kuuliza: “Ni nani aliyegusa mavazi yangu ya nje?”+ Marko 5:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Mara moja, pia, Yesu akatambua ndani yake mwenyewe kwamba nguvu+ zilikuwa zimemtoka, naye akageuka huku na huku katika ule umati na kuanza kusema: “Ni nani aliyeyagusa mavazi yangu ya nje?”+ Marko Mwongozo wa Utafiti wa Mashahidi wa Yehova—Toleo la 2019 5:30 Furahia Maisha Milele!, somo la 16 Yesu—Njia, uku. 116 Mnara wa Mlinzi,6/1/1987, uku. 25
30 Mara moja Yesu akahisi ndani yake kwamba nguvu+ zimemtoka, akaugeukia umati na kuuliza: “Ni nani aliyegusa mavazi yangu ya nje?”+
30 Mara moja, pia, Yesu akatambua ndani yake mwenyewe kwamba nguvu+ zilikuwa zimemtoka, naye akageuka huku na huku katika ule umati na kuanza kusema: “Ni nani aliyeyagusa mavazi yangu ya nje?”+