-
Luka 14:21Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
21 Kwa hiyo yule mtumwa akaja akaripoti mambo haya kwa bwana-mkubwa wake. Ndipo mwenye nyumba akawa na hasira ya kisasi na kumwambia mtumwa wake, ‘Toka uende upesi uingie katika zile njia pana na barabara ndogo za jiji, uwaingize humu maskini na viwete na vipofu na vilema.’
-