-
Yuda 16Tafsiri ya Ulimwengu Mpya ya Maandiko ya Kigiriki ya Kikristo
-
-
16 Watu hawa ni wanung’unikaji, walalamikaji juu ya fungu lao maishani, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe, na vinywa vyao husema mambo ya kujivimbisha, huku wakisifu kwa kustaajabia watu mashuhuri kwa ajili ya manufaa yao wenyewe.
-