16 Watu hawa ni wanung’unikaji,+ walalamikaji kuhusu fungu lao maishani, wakifuata tamaa zao wenyewe+ na kujigamba huku wakiwasifusifu wengine* ili wapate faida.+
16 Watu hawa ni wanung’unikaji,+ walalamikaji juu ya fungu lao maishani, wakiendelea kulingana na tamaa zao wenyewe,+ na vinywa vyao husema mambo ya kujigamba,+ huku wakisifu kwa kustaajabia watu mashuhuri+ kwa ajili ya faida yao wenyewe.