Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 77
  • “Yehova Ni Mchungaji Wangu”

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • “Yehova Ni Mchungaji Wangu”
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • “Yehova ni Mchungaji Wangu”
    Mwimbieni Yehova
  • “Yehova Ni Mchungaji Wangu”
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Yehova Ni Mchungaji Wetu
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
  • “Mimi Hapa, Nitume Mimi”
    Mwimbieni Yehova Sifa
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 77

Wimbo 77

“Yehova Ni Mchungaji Wangu”

(Zaburi 23)

1. Yehova Muchunga wangu;

Kwa nini niogope?

Atunzaye sana kondoo

Hamusahau wake.

Huniongoza kwa maji,

Huhuisha nafusi.

Huongoza hatua zangu

Njiani adilifu.

Huongoza hatua zangu

Njiani adilifu.

2. Nijapopita bonde la

Uvuli, siogopi,

Muchunga yu nami daima

Fimbo y’ondoa hofu.

Hupaka kichwa mafuta;

Kikombe akijaza.

Fadhili zitanifuata,

Nikae nyumba yake.

Fadhili zitanifuata,

Nikae nyumba yake.

3. Mchungaji wa hekima!

Sifa zake naimba.

Habari za utunzi wake

Niletee kondoo.

Nitatii sana Neno,

Kwenda njiani mwake.

Hazina ya huduma yangu

Nitumie daima.

Hazina ya huduma yangu

Nitumie daima.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki