Wimbo 196
Walio Wakfu wa Yehova
1. Kunao wateule,
Wako wakfu moyoni.
Yehova wamutii,
Kondoo wamwendea.
2. Kundi kubwa latoka.
Bora kwa Muchungaji.
Wakfu na kubatizwa,
Alithamini sana.
3. Wanahubiri Neno,
’Jasiri bila woga.
Watumika na ’baki,
Kama ’tone-umande.’
4. “Kundi dogo,” “kondoo”
Wazivuna baraka.
Wamufuata Kristo,
Wafurahisha Mungu.