Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 159
  • Mali Yetu Amani

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mali Yetu Amani
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Amani Tuliyo Nayo
    Mwimbieni Yehova
  • Amani Tuliyo Nayo
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Acha “Amani Ya Mungu” Ilinde Moyo Wako
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1991
  • Jinsi Ambavyo Amani Yaweza Kupatikana Duniani
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1980
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 159

Wimbo 159

Mali Yetu Amani

(Yohana 14:27)

1. Mwenye kukana Mungu,

Hana amani;

Wala wenye akili

zake Shetani.

Kwake Yesu amani,

Hutoka juu,

Ikiwajia watu,

Wenye imani.

2. Sifu Yehova Mungu,

Mwenye amani,

Atakomesha vita,

Kupatanisha.

Yesu Mwana Mufalme

Mwenye amani.

Rafiki ya wapole,

Amani kwao.

3. Tumeacha machungu,

Hatuogopi.

Tumefua mikuki

Na panga kuwa

Majembe na miundu.

Kuwe amani,

Tusamehe kwa pendo,

Kama “kondoo.”

4. Na tuwe na amani,

Ni ya adili,

Hakika ya hekima

Kutoka juu,

Twatafuta kwa sala.

Na njia yetu

Iwe yenye amani,

Ilete shangwe.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki