Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 131
  • Kushikamana na Yehova Mungu Wetu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kushikamana na Yehova Mungu Wetu
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Tunashikamana na Yehova
    Mwimbieni Yehova
  • Tunda la Kujiweza
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Mungu Mkuu, Yehova!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • “Yehova Mungu Wetu Ni Yehova Mmoja”
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2016
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 131

Wimbo 131

Kushikamana na Yehova Mungu Wetu

(Yoshua 23:8)

1. Twatumikia Mungu, sisi wa “nyumba” ya Mungu;

tunamwabudu yeye peke yake.

Tumeacha ‘miungu ya mataifa.’

Tumutumikie Yehova pekee.

Atutie moyoni ukweli wake.

2. Mambo ya ahadi, yale aliyosema,

Yanatimia—Uonezi utakoma!

Ufalme wake utakomesha vita.

Twashikamana naye ajulikane.

Yeye ni Mungu; ataleta amani.

3. Tusome Kitabu cha ukweli wa Mungu.

Tunashikamana kabisa na Yehova.

Tujifunze kumupenda, kumwabudu.

Mapenzi na kusudi lake tujue.

Kumwabudu kuwe jambo kuu kwetu.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki