Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Ssb wimbo na. 142
  • Tumaini la Kukomboa Uumbaji

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Tumaini la Kukomboa Uumbaji
  • Mwimbieni Yehova Sifa
  • Habari Zinazolingana
  • Mwabudu Yehova Ujanani
    Mwimbieni Yehova
  • ‘Viumbe Vyote Vinaugua’—Kwa Sababu Gani?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1986
  • Ukombozi—Unatamanika Kama Nini!
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—1986
  • Njooni! Mburudishwe
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova Sifa
Ssb wimbo na. 142

Wimbo 142

Tumaini la Kukomboa Uumbaji

(Warumi 8:21)

1. Viumbe vyote vinayo dhiki;

Wavuna walichopanda.

Wamemukana Mungu wakawa

Chini ya madhara mengi.

2. Kutazamia wokovu watu,

Watumainie Mungu.

Anasaidia, ni rafiki

Ya wote wanaolia.

3. Jamaa ya kibinadamu

Itarudishwa iwe huru.

Na Yesu amewekwa, kibali

Watu wapate kwa Mungu.

4. Kuwa na “taifa” la Yehova

Ni baraka kwa wapole.

Wanangoja kwa shauku nyingi,

Shangwe za ule Ufalme.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki