Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sn wimbo na. 111
  • Ataita

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Ataita
  • Mwimbieni Yehova
  • Habari Zinazolingana
  • Atawaita
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Hatimaye—Uzima Bila Mwisho!
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Ahadi ya Mungu ya Paradiso
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Uzima wa Milele Umeahidiwa
    Mwimbieni Yehova
Pata Habari Zaidi
Mwimbieni Yehova
sn wimbo na. 111

Wimbo Na. 111

Ataita

Makala Iliyochapishwa

(Ayubu 14:13-15)

1. Lo! Uhai ni kama ukungu,

Nao kesho haupo.

Watokea kisha watoweka.

Huzuni kwa wapendwa.

Mutu akifa, je, ataishi?

Mungu ameahidi:

(KORASI)

Aki’ta; Wataitika,

Watoke na kuishi.

Mungu anatamani,

Kazi ya mikonoye.

Usiwe na shaka kamwe,

Yehova ’tatwinua,

Kisha twishi milele,

Sisi ni mali yake.

2. Rafikize Yehova wakifa,

Hawasahau kamwe.

Walalao katika Kaburi,

Watainuka tena.

Tufurahie uzima nao,

Duniani milele.

(KORASI)

Aki’ta; Wataitika,

Watoke na kuishi.

Mungu anatamani,

Kazi ya mikonoye.

Usiwe na shaka kamwe,

Yehova ’tatwinua,

Kisha twishi milele,

Sisi ni mali yake.

(Ona pia Yoh. 6:40; 11:11, 43; Yak. 4:14.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki