Wimbo Na. 67
Sali kwa Yehova Kila Siku
Makala Iliyochapishwa
1. Sali kwa Yehova, Husikia.
Ni pendeleo kumwakilisha.
Moyo wako umufungulie,
Sikuzote umutegemee.
Tusali kila siku.
2. Sali kwa Yehova, mushukuru.
Atusamehe, tusamehevyo.
Mbele zake Mungu tuungame.
Ndiye Muumba, anatujua.
Tusali kila siku.
3. Sali kwa Mungu ulemewapo.
Ndiye Baba yetu, yu karibu.
Mwombe ulinzi, na musaada;
Mutumaini, usiogope.
Tusali kila siku.
(Ona pia Mt. 6:9-13; 26:41; Luka 18:1.)