Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Desemba uku. 2
  • Aliyekuwa Mtesaji Awa Shahidi Mwenye Bidii

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Aliyekuwa Mtesaji Awa Shahidi Mwenye Bidii
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Habari Zinazolingana
  • Mahubiri ya Sauli Yachochea Uadui
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2005
  • Mnyanyasaji Aona Nuru Kubwa
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2000
  • Yesu Amchagua Sauli
    Masomo Unayoweza Kujifunza Katika Biblia
  • Kutaniko “Likaingia Katika Kipindi cha Amani”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Desemba uku. 2
Sauli akianguka chini nuru kutoka mbinguni inapoangaza kumzunguka

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATENDO 9-11

Aliyekuwa Mtesaji Awa Shahidi Mwenye Bidii

9:15, 16, 20-22

Sauli alibadilika haraka kulingana na yale aliyojifunza. Kwa nini Sauli alichukua hatua haraka ingawa wengine walishindwa kufanya hivyo? Kwa sababu alimwogopa Mungu kuliko wanadamu na alithamini sana rehema ambayo Kristo alimwonyesha. Ikiwa unajifunza Biblia lakini bado hujabatizwa, je, utamwiga Sauli kwa kutenda haraka kulingana na yale unayojifunza?

JE, ULIJUA?

Waroma waliwaruhusu Wayahudi washughulikie mambo yao wenyewe ya kihukumu. Isitoshe, Sanhedrini na kuhani mkuu walikuwa na mamlaka juu ya Wayahudi popote walipoishi. Kwa hiyo, wangeweza kumpa Sauli mamlaka ya kuwakamata Wayahudi waliogeuka na kuwa Wakristo, hata katika maeneo ya mbali kama vile Damasko.

Ramani ikionyesha Damasko na Yerusalemu

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki