Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • mwb18 Desemba uku. 4
  • Uamuzi wa Kauli Moja kwa Msingi wa Neno la Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Uamuzi wa Kauli Moja kwa Msingi wa Neno la Mungu
  • Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
  • Habari Zinazolingana
  • Baraza Linaloongoza Hufanyaje Kazi Leo?
    Ni Nani Wanaofanya Mapenzi ya Yehova Leo?
  • Ni Nani Anayewaongoza Watu wa Mungu Leo?
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Funzo)—2017
  • Tengenezo la Mungu Linaloonekana
    Unaweza Kuishi Milele Katika Paradiso Duniani
  • “Tumefikia Kauli Moja”
    “Kutoa Ushahidi Kamili” Kuhusu Ufalme wa Mungu
Pata Habari Zaidi
Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2018
mwb18 Desemba uku. 4
Kutaniko katika karne ya kwanza likisikiliza uamuzi wa baraza linaloongoza

Kutaniko likisikiliza uamuzi wa baraza linaloongoza

HAZINA ZA NENO LA MUNGU | MATENDO 15-16

Uamuzi wa Kauli Moja kwa Msingi wa Neno la Mungu

Tunaweza kujifunza nini kutokana na jinsi suala hilo lilivyotatuliwa?

15:1, 2—Onyesha unyenyekevu na subira. Badala ya kusuluhisha suala wenyewe, Paulo na Barnaba walitafuta mwongozo wa tengenezo la Yehova.

15:28, 29—Amini tengenezo la Mungu. Kutaniko lilikuwa na uhakika kwamba Yehova angeelekeza mambo kupitia roho yake takatifu na Kristo Yesu.

16:4, 5—Tii. Makutaniko yalizidi kuimarishwa na kuongezeka yalipofuata mwongozo wa baraza linaloongoza.

Kuna mwongozo gani tuliopata hivi karibuni kutoka kwa tengenezo la Yehova?

Ninanufaikaje kwa kufuata mwongozo huo?

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki