Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • th somo la 4 uku. 7
  • Kutoa Utangulizi Mzuri wa Maandiko

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Kutoa Utangulizi Mzuri wa Maandiko
  • Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Habari Zinazolingana
  • Kuonyesha Waziwazi Matumizi ya Andiko
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Kutoa Utangulizi Mzuri wa Maandiko
    Faidika na Elimu ya Shule ya Huduma ya Kitheokrasi
  • Kujitahidi Kugusa Moyo
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
  • Utangulizi Wenye Matokeo
    Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
Pata Habari Zaidi
Boresha Uwezo Wako wa Kusoma na Kufundisha
th somo la 4 uku. 7

SOMO LA 4

Kutoa Utangulizi Mzuri wa Maandiko

Andiko lililotajwa

Mathayo 22:41-45

MUHTASARI: Tayarisha akili za wasikilizaji wako kabla ya kusoma andiko.

JINSI YA KUFANYA HIVYO:

  • Fikiria lengo lako la kusoma andiko. Toa utangulizi wa kila andiko kwa njia itakayowafanya wasikilizaji wako wakazie fikira jambo kuu katika mstari unaosoma.

    Dokezo linalofaa

    Fikiria muktadha. Hakikisha kwamba unamtambulisha kwa usahihi msemaji wa nukuu au mwandikaji wa kitabu cha Biblia.

  • Tumia Biblia kuwa mamlaka yako. Unapozungumza na watu wanaomwamini Mungu, wasaidie waikazie fikira Biblia kuwa Neno la Mungu. Unapofanya hivyo utawaonyesha kwamba unawafundisha mawazo ya Mungu.

  • Chochea upendezi wa wasikilizaji wako. Uliza swali ambalo litajibiwa katika andiko, taja tatizo ambalo litatatuliwa na andiko, au taja kanuni ambayo itafafanuliwa na simulizi la Biblia.

    Dokezo linalofaa

    Zingatia mambo ambayo wasikilizaji wako wanajua kuhusu habari unayozungumzia na andiko unalosoma. Hata unaposoma andiko ambalo wasikilizaji wako wanafahamu vizuri, toa utangulizi wenye kusisimua na uwasaidie walione kwa njia mpya.

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki