Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • lmd somo la 9
  • Huruma

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Huruma
  • Wapende Watu—Fanya Wanafunzi
  • Vichwa vidogo
  • Habari Zinazolingana
  • Yesu Alifanya Nini?
  • Tunajifunza Nini Kutoka kwa Yesu?
  • Mwige Yesu
  • Hisia-Mwenzi—Hutusaidia Kudhihirisha Fadhili na Huruma
    Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2002
  • Onyesha Hisia-Mwenzi
    Daftari la Mkutano wa Huduma na Maisha Yetu ya Kikristo—2021
  • Uwe na Huruma
    Amkeni!—2020
  • “Akawasikitikia”
    ‘Njoo Uwe Mfuasi Wangu’
Pata Habari Zaidi
Wapende Watu—Fanya Wanafunzi
lmd somo la 9

KUFUATIA UPENDEZI

Yesu na wanafunzi wake wakitembea kutoka kwenye mashua yao kuelekea kwenye umati wa watu wanaowasubiri ufuoni.

Marko 6:​30-34

SOMO LA 9

Huruma

Kanuni: “Shangilieni na wale wanaoshangilia; lieni na wale wanaolia.”—Rom. 12:15.

Yesu Alifanya Nini?

Yesu na wanafunzi wake wakitembea kutoka kwenye mashua yao kuelekea kwenye umati wa watu wanaowasubiri ufuoni.

VIDEO: Yesu Anausikitikia Umati

1. Tazama VIDEO, au soma Marko 6:​30-34. Kisha fikiria maswali yafuatayo:

  1. Kwa nini Yesu na mitume wake walitarajia ‘kuwa peke yao’?

  2. Ni nini kilichomchochea Yesu aufundishe umati?

Tunajifunza Nini Kutoka kwa Yesu?

2. Huruma inatuchochea kuwajali watu, si kuwaambia tu ujumbe wetu.

Mwige Yesu

3. Sikiliza kwa makini. Mruhusu mtu unayezungumza naye ajieleze. Usimkatishe au kupuuza hisia zake, mahangaiko yake au mambo asiyokubaliana nayo. Kwa kumsikiliza kwa makini, utaonyesha kwamba unajali mambo anayosema.

4. Mfikirie mtu anayependezwa. Ikitegemea mazungumzo yako, jiulize hivi:

  1. ‘Kwa nini anahitaji kusikia kweli?’

  2. ‘Kujifunza Biblia kutaboreshaje maisha yake ya sasa na ya wakati ujao?’

5. Zungumzia mambo yanayoweza kumsaidia. Bila kukawia, mwonyeshe jinsi ambavyo kujifunza Biblia kunaweza kujibu maswali yake na kumsaidia katika njia hususa.

SOMA PIA

Rom. 10:​13, 14; Flp. 2:​3, 4; 1 Pet. 3:8

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki