Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • sjj wimbo na. 33
  • Mtupie Yehova Mzigo Wako

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mtupie Yehova Mzigo Wako
  • ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
  • Habari Zinazolingana
  • Mtupie Yehova Mzigo Wako
    Mwimbieni Yehova
  • Mtupie Yehova Mzigo Wako
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Upendo Mshikamanifu wa Mungu
    Mwimbieni Yehova Sifa
  • Wachungaji​—⁠Zawadi Katika Wanadamu
    ‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
Pata Habari Zaidi
‘Mwimbieni Yehova kwa Shangwe’
sjj wimbo na. 33

WIMBO NA. 33

Mtupie Yehova Mzigo Wako

Makala Iliyochapishwa

(Zaburi 55)

  1. 1. Ee Yehova nakuomba,

    Usijifiche mbali.

    Sikiliza, unijibu,

    Ili nisiogope.

    (KORASI)

    Mtupie Yah mzigo;

    Naye atakutegemeza.

    Hataacha utikiswe,

    Atakuimarisha.

  2. 2. Kama ningekuwa njiwa,

    Ningeruka nyikani,

    Mbali na watu waovu,

    Watendao jeuri.

    (KORASI)

    Mtupie Yah mzigo;

    Naye atakutegemeza.

    Hataacha utikiswe,

    Atakuimarisha.

  3. 3. Yehova hutufariji,

    Na kutupa amani.

    Ijapo tunalemewa,

    Ana fadhili nyingi.

    (KORASI)

    Mtupie Yah mzigo;

    Naye atakutegemeza.

    Hataacha utikiswe,

    Atakuimarisha.

(Ona pia Zab. 22:5; 31:​1-24.)

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki