1
Yohana Mbatizaji ahubiri (1-8)
Yesu abatizwa (9-11)
Shetani amjaribu Yesu (12, 13)
Yesu aanza kuhubiri huko Galilaya (14, 15)
Wanafunzi wa kwanza wachaguliwa (16-20)
Roho mwovu afukuzwa (21-28)
Yesu awaponya watu wengi huko Kapernaumu (29-34)
Yesu asali faraghani (35-39)
Mtu mwenye ukoma aponywa (40-45)
2
Yesu amponya mtu aliyepooza (1-12)
Yesu amwita Lawi (13-17)
Swali kuhusu kufunga (18-22)
Yesu, ‘Bwana wa Sabato’ (23-28)
3
Mwanamume mwenye mkono uliopooza aponywa (1-6)
Umati mkubwa kando ya bahari (7-12)
Mitume 12 (13-19)
Kukufuru roho takatifu (20-30)
Mama na ndugu za Yesu (31-35)
4
5
6
Yesu akataliwa katika mji wa nyumbani kwao (1-6)
Wale 12 wapewa maagizo kuhusu huduma (7-13)
Kifo cha Yohana Mbatizaji (14-29)
Yesu alisha wanaume 5,000 (30-44)
Yesu atembea juu ya maji (45-52)
Yesu awaponya watu huko Genesareti (53-56)
7
Yesu afunua mapokeo ya wanadamu (1-13)
Mtu huchafuliwa na kile kinachotoka moyoni (14-23)
Imani ya mwanamke wa Sirofoinike (24-30)
Mwanamume aliyekuwa kiziwi aponywa (31-37)
8
Yesu alisha wanaume 4,000 (1-9)
Waomba ishara (10-13)
Chachu ya Mafarisayo na ya Herode (14-21)
Mwanamume kipofu aponywa huko Bethsaida (22-26)
Petro amtambulisha Kristo (27-30)
Kifo cha Yesu chatabiriwa (31-33)
Wanafunzi wa kweli (34-38)
9
Yesu ageuka sura (1-13)
Mvulana aliyekuwa na roho mwovu aponywa (14-29)
Kifo cha Yesu chatabiriwa tena (30-32)
Wanafunzi wabishana kuhusu aliye mkuu zaidi (33-37)
Mtu asiyetupinga yuko upande wetu (38-41)
Vikwazo (42-48)
“Iweni na chumvi ndani yenu” (49, 50)
10
Ndoa na talaka (1-12)
Yesu awabariki watoto (13-16)
Swali la mwanamume tajiri (17-25)
Kujidhabihu kwa ajili ya Ufalme (26-31)
Kifo cha Yesu chatabiriwa tena (32-34)
Ombi la Yakobo na Yohana (35-45)
Bartimayo aliyekuwa kipofu aponywa (46-52)
11
Yesu aingia kwa kishindo (1-11)
Mtini walaaniwa (12-14)
Yesu asafisha hekalu (15-18)
Somo kutoka kwa mtini ulionyauka (19-26)
Wataka kujua chanzo cha mamlaka ya Yesu (27-33)
12
Mfano wa wakulima wauaji (1-12)
Mungu na Kaisari (13-17)
Swali kuhusu ufufuo (18-27)
Amri mbili kuu zaidi (28-34)
Je, Kristo ni mwana wa Daudi? (35-37a)
Waonywa wajihadhari na waandishi (37b-40)
Sarafu mbili za mjane maskini (41-44)
13
14
Makuhani wapanga njama ya kumuua Yesu (1, 2)
Yesu amiminiwa mafuta yenye marashi (3-9)
Yuda amsaliti Yesu (10, 11)
Pasaka ya mwisho (12-21)
Mlo wa Jioni wa Bwana waanzishwa (22-26)
Yesu atabiri kwamba Petro atamkana (27-31)
Yesu asali akiwa Gethsemane (32-42)
Yesu akamatwa (43-52)
Kesi mbele ya Sanhedrini (53-65)
Petro amkana Yesu (66-72)
15
Yesu mbele ya Pilato (1-15)
Adhihakiwa hadharani (16-20)
Atundikwa kwenye mti huko Golgotha (21-32)
Yesu afa (33-41)
Yesu azikwa (42-47)
16