Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • nwt uku. 5
  • Utangulizi wa Neno la Mungu

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Utangulizi wa Neno la Mungu
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Utangulizi wa Neno la Mungu

Utangulizi wa Neno la Mungu

Biblia ina ujumbe wa Mungu kwa ajili yetu leo. Inatuonyesha jinsi ya kuishi kwa mafanikio na jinsi ya kupata kibali cha Mungu. Pia, inajibu maswali yafuatayo:

  1. 1 Mungu ni nani?

  2. 2 Unawezaje kujifunza kumhusu Mungu?

  3. 3 Ni nani aliyeandika Biblia?

  4. 4 Je, Biblia ni sahihi kisayansi?

  5. 5 Biblia ina ujumbe gani?

  6. 6 Biblia ilitabiri nini kumhusu Masihi?

  7. 7 Biblia ilitabiri nini kuhusu nyakati zetu?

  8. 8 Je, Mungu ndiye chanzo cha mateso yanayotupata?

  9. 9 Kwa nini wanadamu huteseka?

  10. 10 Biblia inaahidi nini kuhusu wakati ujao?

  11. 11 Ni nini hutokea mtu anapokufa?

  12. 12 Kuna tumaini gani kwa ajili ya wafu?

  13. 13 Biblia inasema nini kuhusu kufanya kazi?

  14. 14 Unawezaje kutumia vizuri pesa na mali zako?

  15. 15 Unawezaje kuwa na furaha?

  16. 16 Unawezaje kukabiliana na mahangaiko?

  17. 17 Biblia inawezaje kuisaidia familia yako?

  18. 18 Unawezaje kumkaribia Mungu?

  19. 19 Vitabu vya Biblia vina ujumbe gani?

  20. 20 Unawezaje kunufaika zaidi unaposoma Biblia?

JINSI YA KUPATA MISTARI YA BIBLIA

Biblia ina vitabu vidogo 66. Imegawanywa katika sehemu mbili: Maandiko ya Kiebrania na Kiaramu (“Agano la Kale”) na Maandiko ya Kigiriki (“Agano Jipya”). Kila kitabu cha Biblia kimegawanywa kwa sura na mistari. Maandiko yanapotajwa, nambari ya kwanza baada ya jina la kitabu inaonyesha sura, na nambari inayofuata au zinazofuata ni mstari au mistari. Kwa mfano, Mwanzo 1:1 inamaanisha Mwanzo sura ya 1, mstari wa 1. 

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki