SANDUKU LA KUFUNDISHIA LA 10A
Ibada Safi—Yarudishwa Hatua kwa Hatua
Makala Iliyochapishwa
“Sauti ya vitu vinavyogongana”
William Tyndale na watu wengine walitokeza tafsiri za Biblia katika Kiingereza na lugha nyingine
“Kano na nyama”
Charles T. Russell na washirika wake walirudisha kweli za Biblia
“Wakaanza kuishi na kusimama kwa miguu yao”
Baada ya watu wa Yehova kuwa “hai” mwaka wa 1919, waliongeza bidii katika kazi ya kuhubiri