UBATIZO
(Ona pia Wahubiri Waliobatizwa Karibuni; Wakfu [Kuweka/Kujiweka])
“kwa kusudi la kuwa wafu” (kwa ajili ya wafu) (1Ko 15:29): w08 7/15 27; rs 310; w03 10/1 29; w00 7/15 17; w00 8/15 30; w98 7/1 17
maelezo: rs 307-311
neno la Kigiriki: bt 58; w06 4/1 30; rs 307; w02 4/1 11
ubatizo katika Kristo Yesu: w08 6/15 29
ubatizo kwa au katika roho takatifu: rs 309, 311
ni tofauti na ubatizo katika jina la roho takatifu: w10 3/15 14-15
si lazima mtu apate zawadi za roho: rs 309
ubatizo kwa moto: rs 310-311
ni tofauti na kubatizwa kwa roho takatifu: rs 311
Ubatizo Katika Kifo
Wakristo watiwa-mafuta: w08 6/15 29-30; w06 2/15 23-24; rs 310
Ubatizo wa Maji
chati “Unafikiria Kubatizwa?”: yp2 308-309
hatua zinazotangulia: bt 27; w06 4/1 28; bh 176-179; w03 10/15 18-19; w02 4/1 16; w96 7/15 9; rq 31
hisia za watazamaji: lv 183-184
idadi kubwa ya watu ambao wamewahi kubatizwa katika kusanyiko moja: w12 9/15 30; bt 26
jina la Baba, Mwana, roho takatifu: w10 3/15 10-14; bh 182; w02 4/1 11-12; wt 112-115; w01 1/15 12
roho takatifu: w10 3/15 13-14
jinsi ya kujiendesha wakati wa ubatizo: w06 4/1 30; od 216; km 5/00 6
kama watu wawili wanaweza kubatizwa wakishikana mikono: km 5/99 4; km 10/98 10; km 10/97 10; km 10/96 10
Kanisa Katoliki:
Klovisi wa Ufaransa (496): w02 3/1 26-30
kuzamisha: g 9/07 14
mahali pa kubatizia: g 9/07 12-14
kinachowafanya wengine wasite: w10 11/15 15; w06 4/1 28-29; w06 7/1 29; w02 4/1 13-15
kubatizwa tena: w10 2/15 22; w10 4/15 12
Wakristo huko Efeso (Mdo 19:1-7): bt 160
kugeuka kunatangulia ubatizo: bh 178; w02 4/1 12
kushangilia wakati wa ubatizo: w02 4/1 13
kuuahirisha: w06 7/1 29-30; rs 307
vijana: w11 6/15 6
kuzamisha: bt 58; g 9/07 12-14; w06 4/1 29-30; bh 175; rs 308; w02 4/1 10-11; w02 6/1 29; w02 7/15 19-20
maana ya ubatizo wa maji: w12 4/1 16; w12 6/15 20; w10 2/15 25; yp2 307; w06 10/15 13; bh 182-183; rs 307; wt 115-116, 118
kuwekwa kuwa wahudumu: od 78; w00 11/15 17-19
kuzikwa kwa njia ya mfano: bh 182-183
mapatano mazito: w06 4/1 27
mtu anaonyesha amejiweka wakfu kwa kubatizwa: w06 4/1 23; bh 181-182; w02 4/1 12-13
si kuosha dhambi: rs 308-309
ubatizo hauondoi hiari ya mtu: w02 4/1 17-18
ubatizo ni kama ndoa: w98 11/15 12
ubatizo unaonyesha hadharani kwamba mtu amejiweka wakfu: w10 1/15 3; w98 11/15 12
unamtambulisha aliyebatizwa kuwa Shahidi: w06 4/1 23-25
Wayahudi waliobatizwa siku ya Pentekoste 33 W.K.: w06 7/1 25; w03 5/15 30-31; w03 8/15 30; w02 4/1 11
maandiko ambayo yamefafanuliwa isivyofaa:
1 Wakorintho 15:29: w08 7/15 27; rs 310; w03 10/1 29; w00 7/15 17
maelezo: w12 4/1 16-17; w06 4/1 21-30; bh 174-183; w02 4/1 10-15; w02 7/15 19-20; wt 110-116, 118-119; rq 31
maendeleo ya kiroho baada ya kubatizwa: w98 10/1 28-31
maji ya ubatizo:
‘kuzaliwa kwa maji’ (Yoh 3:5): w09 4/1 8
‘yalitoa ushahidi’ (1Yo 5:6-8): w08 12/15 27-28
mambo ambayo Noa alijionea yanavyolingana na ubatizo: w08 11/15 21; wt 116
mambo yaliyoonwa:
gerezani: w98 10/15 28
kijana anayeugua ugonjwa wa mfumo wa neva: yb11 64
kijana kutoka kijiji cha mbali: yb12 59-61
ndugu achimba kidimbwi na kukijaza kwa maji kwa ajili ya ubatizo wake mwenyewe: w05 4/15 24
ubatizo katika beseni ya kuogea miaka 50 baada ya kujiweka wakfu: yb08 216-217
ubatizo katika jeneza: g01 11/22 19-20
ubatizo katika pipa la samaki: yb09 204
ubatizo katika shamba la mpunga: yb09 187
ubatizo katika shimo lililotokana na mlipuko wa bomu: g05 12/22 13
usiku katika ziwa msituni: yb04 101-102
manufaa: w10 2/15 24-28; w06 4/1 30
matakwa ya kutimiza kabla ya ubatizo:
kiasi cha ujuzi: bh 176
kuelewa Neno la Mungu: w02 7/15 19
vijana: w11 6/15 3-5
mavazi: w06 4/1 30; od 216; km 5/01 6; km 5/00 6; km 5/99 4; km 10/98 10
Wanafunzi wa Biblia: w03 4/1 26-27
mipango kusanyikoni: km 5/99 4; km 10/98 10
mipango ya ubatizo: od 74-75
mtazamo unaofaa wakati wa ubatizo: w96 9/1 21
nia inayofaa ya mtu anayetaka kubatizwa: w06 4/1 25, 27
Pentekoste 33 W.K.: w10 3/15 10-11; bt 26-27; w06 4/1 27; w06 7/1 25; w03 5/15 30-31; w03 8/15 30; w02 4/1 11; w02 8/1 15
sababu zinazofanya ifae kuwabatiza wanafunzi: od 215
toba inatangulia ubatizo: w06 4/1 22-23; bh 178; od 180; w02 4/1 12
towashi Mwethiopia: bt 12, 58; g 9/07 12; w06 4/1 26-27; w96 7/15 8-9
ubatizo haukutokana na zoea la Wayahudi la kuoga kidesturi: w06 10/15 12-13
ubatizo usiofaa:
kuwalazimisha watu wabatizwe: w02 4/1 10, 13
ubatizo wa kondoo wengine: w09 8/15 16; re 120; jv 83
ubatizo wa Yohana: wt 110-112
ulimwenguni pote:
idadi ya wanaobatizwa kila mwezi: w12 3/15 14
idadi ya watu wanaobatizwa kila juma: yb06 5; w04 7/1 12; km 3/03 1
kipindi cha miaka kumi: w10 2/15 24; w05 9/15 8
kipindi cha miaka miwili: w07 1/15 26
ripoti ya kila mwaka: yb12 55; yb11 51; yb10 31; yb09 5, 31; yb08 31; w07 2/1 23; yb07 31; yb06 31; w05 2/1 14; yb05 31; yb04 4, 31; w02 1/1 18; km 3/02 6; w01 1/1 11; km 6/01 6; w00 1/1 13; w99 1/1 8; w96 1/1 16
vijana: w11 6/15 3-6; w10 11/15 14-16; w08 5/15 18
inapofaa kijana abatizwe: w10 11/15 14; yp2 307
kijana anavyoweza kujua kama yu tayari kubatizwa: w11 6/15 3-5; w10 11/15 15-16; yp2 308-309
uamuzi kuhusu ubatizo: yp2 304-310; w06 7/1 28-30
vitabu ambavyo wanafunzi wanaofanya maendeleo wanapaswa kujifunza: km 4/11 2; km 3/09 2; km 1/08 7; km 1/06 1; km 4/03 3; km 6/00 4; km 7/99 2; km 5/96 3
wahubiri ambao hawajabatizwa wanatiwa moyo wabatizwe: w10 5/1 17; w06 7/1 29-30; od 180-181; wt 38-39
Wakristo wa mapema: g 9/07 12-13; w02 4/1 11; w02 7/15 19-20
Wanabaptisti: w04 6/15 11-12
wanaotaka kubatizwa:
maswali ya kupitiwa pamoja na wazee Wakristo: od 182-215
maswali yanayoulizwa wakati wa ubatizo: w06 4/1 22-25; od 215-216
mazungumzo ya kumalizia pamoja na wazee Wakristo: od 215-216
mnyonge au mlemavu: w02 6/1 29
walio na ugonjwa wa kuambukiza: od 197
wazee Wakristo wanapaswa kuwaeleza kuhusu majaribu ambayo huenda yakawapata: w98 7/15 24
wazee Wakristo wanapaswa kuwajulisha kuhusu mavazi yanayofaa: od 216; km 5/99 4
wazee Wakristo wanapitia mafundisho ya msingi ya Biblia pamoja na wanaotaka kubatizwa: od 83, 181-182, 217-218; w02 4/1 13; jv 479; w96 1/15 17
watoto: yb09 4; w06 4/1 27-28; lr 236-237
watoto wachanga: w11 10/1 11; g 9/07 14; w06 7/1 26; rs 308
Kanisa la Kilutheri la Sweden: g96 8/8 29
maoni ya kanisa kuhusu watoto wachanga wanaokufa kabla ya kubatizwa: w10 6/1 4-5
wokovu kupitia ubatizo: yp2 305; wt 116, 118
Yesu Kristo:
alikuwa akisali: w12 4/1 21; w10 8/15 9; w96 7/1 14
alitiwa mafuta: w09 5/15 30-31; w09 8/1 31
maana ya ubatizo wa Yesu: w12 4/1 16; w10 1/15 3; w10 8/15 9-10; w02 4/1 11; wt 111-112; w96 7/1 14-15
mbingu ‘zilifunguliwa’ (Mt 3:16; Lu 3:21): w08 1/15 29; lr 52
“Mwanangu, mpendwa” (Mt 3:17; Mk 1:11; Lu 3:22): w08 1/1 25; g04 8/22 9; w98 2/15 13
“ndiye aliyekuja kwa njia ya maji na damu” (1Yo 5:6): w08 12/15 27-28
ni Yesu na Yohana tu waliokuwapo: w05 1/15 11
roho takatifu ilishuka baada ya ubatizo: w98 2/15 13
yaelekea alikumbuka maisha yake ya kabla ya kuwa mwanadamu alipobatizwa: cf 49; lr 52
Yehova atangaza amemkubali wakati wa ubatizo: w10 8/15 10; w08 1/1 25; w96 7/1 14-15