HAR–MAGEDONI
(Ona pia Dhiki Kuu; Mwisho wa Ulimwengu; Siku ya Yehova)
jina Amagedoni (Armagedoni) pia limetumiwa: rs 84-85
kama mtu anapaswa kuogopa vita vya Har-Magedoni: g05 7/8 12-13
maana ya jina: w12 2/1 5-6; w08 4/1 5-7; w07 2/1 31; re 232-233; w05 12/1 3-4; g05 7/8 12; rs 84-85
maandiko yaeleweka wazi zaidi (1925-1926): jv 140
maelezo: w12 2/1 3-9; w11 9/1 10; w08 4/1 5-8; w07 2/1 31; re 230-233, 279-286; w05 12/1 3-7; bh 81-82; my 114; rs 84-88
maelezo katika kitabu cha—
Ezekieli 38:21-23: w12 9/15 6; w97 3/1 14-15
mahali ambapo vitapiganwa: w08 4/1 31; w05 12/1 4
malaika watakavyohusika: w07 3/15 25; re 214, 281
mambo yatakayotimizwa: w07 2/1 31; w05 12/1 7; bh 82; w97 4/15 17
suala la enzi kuu ya ulimwengu litasuluhishwa: w05 12/1 6
vita havitakuwapo tena kamwe: w05 12/1 7
maoni yasiyo sahihi: w12 2/1 4-5; w05 12/1 3
ni vita vitakavyopiganwa Mashariki ya Kati: w08 4/1 31; w05 12/1 4; rs 85
ni vita vya nyuklia: w08 4/1 3-4; w05 12/1 4; rs 84
maoni ya Wanafunzi wa Biblia: w08 4/1 31; jv 139-140
Mashahidi watakavyohusika: re 281-282; w05 12/1 6
matukio ya kabla ya Har–Magedoni: w12 2/1 9; w12 4/15 32
kukusanywa kwa mataifa: re 230-233; rs 88
ni vya lazima: w08 4/1 8; w05 12/1 6-7
si kinyume cha upendo wa Mungu: w05 12/1 6-7; rs 87-88
uharibifu: rs 86-88
wa milele: re 213-214, 285-286; rs 86
uhusiano kati ya Megido na Har-Magedoni: w12 2/1 5-6; w08 4/1 6-7; w07 2/1 31; w05 12/1 4-5; rs 84-85
upeo wa—
“dhiki kuu” (Mt 24:21; Ufu 7:14): w97 4/1 15
“ole wa tatu” (Ufu 11:14, 18): re 174
vita: re 285-286
vita vya Har–Magedoni vinafananishwa na shinikizo la divai: re 212-215, 283-284
vita vya Har–Magedoni vitakapoanza: w05 12/1 4-5
kama Yesu anajua: w96 8/1 30-31
siku na saa (Mt 24:36): w98 11/15 17; w97 3/1 11-12; w96 8/1 30-31
ukaribu: w12 2/1 8-9
vita vya Har-Magedoni vitakavyoanza: w12 2/1 6-7; re 279
shambulio la Gogu wa Magogu: re 279-280; w03 6/1 19
shambulio la mataifa (Zek 14:2): w96 7/1 22
vita vya uadilifu: re 280-281; w05 12/1 5-6; rs 87-88
watakaoangamizwa: re 6, 8; rs 86
watakaookoka: w12 2/1 7; w05 12/1 6; rs 86-87
mahali ambapo mtu anapaswa kuwa wakati itakapoanza: w09 5/15 6-8
uponyaji wa kimuujiza: g99 6/8 10
uzazi: w03 12/15 19
watoto: rs 87
watakaopigana: w09 2/15 5; re 280-281, 285; w05 12/1 4, 6
watiwa-mafuta waliofufuliwa watakavyohusika: re 53, 281
Yehova atakavyohusika: w12 2/1 7
‘atatikisa mbingu na dunia’ (Hag 2:21, 22): w06 4/15 24; w97 1/1 22
silaha zitakazotumiwa: w05 12/1 6
“tauni” (Zek 14:12, 13): jd 32; w96 7/1 22
Yesu Kristo atakavyohusika: re 279-286; my 114
yeye ndiye ambaye ameketi juu ya farasi mweupe (Ufu 19:11-21): re 280-286