Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • dx96-12
  • Mikutano (ya Kutaniko)

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Mikutano (ya Kutaniko)
  • Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
  • Vichwa vidogo
  • Kuhudhuria Mikutano
  • Orodha ya Mikutano
Fahirisi ya Machapisho ya Watch Tower 1996-2012
dx96-12

MIKUTANO (ya Kutaniko)

(Ona pia Majumba ya Ufalme; Matangazo)

(Kuna vichwa vidogo: Kuhudhuria Mikutano; Orodha ya Mikutano)

Collegiants (kikundi cha kidini): w99 4/15 25-26

hakuna sadaka: w09 2/1 23; jv 340-343

hali katika mikutano: km 1/10 2; w06 11/1 30

historia: jv 236-253

hotuba na sehemu nyingine za mikutano:

Ezra na Nehemia ni mfano wa kuigwa: w98 10/15 20

kuongoza sehemu zinazokusudiwa kuzungumziwa kwa maswali na majibu: w03 9/1 21-22

kuwatia wasikilizaji moyo wasome maandiko: be 145-149

kuzitayarisha: km 1/04 3

kuzitayarisha dakika ya mwisho: w99 12/1 27

wazee wanavyoweza kuwa wenye kujenga wanapofundisha: w10 10/15 24-25

Israeli (la kale): g01 3/8 13

masinagogi: w10 4/1 17-18; w02 11/15 7

katika juma la kusanyiko la mzunguko: km 4/10 4; km 2/98 7; km 1/97 3

Shule ya Huduma ya Kitheokrasi: km 10/08 3

katika juma la Ukumbusho: km 2/11 4; km 3/10 4

katika nyumba za watu: w11 1/15 15; od 120

kuboresha mikutano:

wajibu wa wahubiri wote: km 4/98 7

kujitayarisha: w11 2/15 27; w10 7/15 23-24; w08 7/15 31-32; w02 9/15 13; be 27-29, 31; w98 3/1 15-16

familia: km 11/02 6; w00 3/15 19; w99 7/1 18-20; w99 8/15 29; km 3/99 4

manufaa: km 10/08 1

kusikiliza Sing to Jehovah—Piano Accompaniment kabla na baada ya mikutano: km 12/11 3

kusoma kwa sauti mbele ya watu: be 26, 83-85, 105; km 9/96 7

kwa usahihi: be 83-85

kusudi: w09 3/15 20; km 5/05 4

kutafsiri kwa lugha ya ishara:

kama dada wanaotafsiri wanapaswa kujifunika kichwa: w09 11/15 12-13

kutangaza wimbo: km 5/07 3

kuwa makini mikutanoni: w02 9/15 12-14

kuzingatia wakati:

kuhakikisha kwamba mikutano inaanza na kuisha kwa wakati: km 1/04 3

muda uliotengewa kila mkutano: km 8/12 3; w09 2/1 20-23; km 10/08 1

mabadiliko katika juma la siku ya kusanyiko la pekee: km 4/10 4

maelezo: w11 3/1 7-8; g 8/10 6-7; w09 2/1 20-23; od 59-77; w02 3/15 24-25; w02 11/15 8; jt 19-20; w98 3/1 14-19; rq 28

maelezo ya ndugu kwenye Baraza Linaloongoza: w96 7/15 12

maelezo ya watu wasio Mashahidi: w09 2/1 23

mtu anayesomea dini: w07 3/1 6

makutaniko madogo: od 72-73

makutaniko yanayotumia Jumba la Ufalme lilelile: w05 12/1 26; od 122; w04 4/15 22

mambo yaliyoonwa:

aona upendo kati ya Mashahidi anapowatazama akiwa nje ya Jumba la Ufalme: yb11 248-249

baba aliyekuwa mpinzani awalinda ndugu wakati wa mkutano: yb08 159

dada hakufutwa kazi: g 5/07 8-9

daktari: w98 4/15 26-27

gerezani: yb11 206-207; yb07 116; yb06 123; w98 10/15 26

Jumba la Ufalme lapelekwa msituni: w00 12/1 17

kijana aliyejitenga na watu wengine asaidiwa kuhudhuria mikutano: w99 6/1 8

kukabiliana na matatizo ya usemi: yb11 69

mama aliyekuwa thabiti: w97 9/1 25

mama na binti waalikwa na Shahidi aliyekuwa akihubiri barabarani: w01 2/1 8

Mashahidi wahudhuria mkutano baada ya kifo cha mwana wao: w01 5/1 11

Mashahidi walipokuwa uhamishoni Siberia: yb11 206-207

mikutano magerezani: yb08 124, 156-157, 160

mtoto mwenye miaka sita aliyesema uwongo: km 8/00 4

mtu aliyevutiwa na mikutano: g01 4/8 32

mtu aliyevutiwa na ukaribishaji: yb07 53-54

mwanamke aliyekaribishwa alia anapoona unyofu wa Mashahidi: yb09 64

mwanamke aliyesali kuhusu kuhudhuria mikutano: yb11 249-250

mwanamke kiziwi aliyeshuka moyo: w02 3/15 25

mwanamke mwenye haya avutiwa na upendo: w96 4/1 9

mwanamume aliyefikiri kwamba anaijua Biblia: yb11 57-58

mwanamume mgeni: g 8/07 11

mwanasiasa ambaye hakuwa amenyoa ndevu wala kuchana nywele ahudhuria mkutano: jv 251

ndugu hawakuacha kufanya mikutano: w00 12/1 17

painia awaalika wote wahudhurie Shule ya Huduma ya Kitheokrasi: jv 299

ripoti za wanafunzi wa chuo: w02 3/15 25; w99 11/15 32

wakati wa marufuku: yb12 124; yb11 226; yb10 93-94; yb07 193, 195; yb06 96; w03 9/1 27; w01 12/1 27; g00 10/22 23; jv 449

wakati wa vita: w01 6/1 10

watu wanaopendezwa wafanya mikutano: w11 3/1 24-25; w96 8/15 25

matumizi ya neno “ndugu” na “dada” kutanikoni: w09 5/15 19; km 4/96 7

mifano katika Biblia:

mkutano pamoja na Yesu huko Galilaya (Mt 28): w10 10/15 24

mikutano inapopigwa marufuku:

jambo la kufanya: w08 3/15 5; od 177; km 6/04 8; wt 169; jv 449

mikutano inavyofanana na ibada iliyofanywa katika masinagogi zamani: w10 4/1 18

mikutano inayojenga: w10 10/15 20-25; w10 12/15 6; w98 3/1 15

mikutano katika juma la kusanyiko la wilaya: km 4/10 4

mikutano yathaminiwa: w10 10/15 25; w07 5/15 11-12; w02 3/15 25; w02 5/15 8; w00 3/15 15-19; w00 6/1 30; w98 3/1 14-19; w96 12/15 15-17

mipango kwa ajili ya—

kusikiliza mikutano kwa kutumia simu: km 11/09 11

watu wenye umri mkubwa: km 12/02 1

msingi katika Biblia: w09 2/1 20; od 59-60; rs 63-64

saa za mikutano: od 122

kubadili saa za mikutano kila mwaka: w05 12/1 26; od 122

mabadiliko kuanzia 2009: yb09 4; km 10/08 1, 7

sala: w10 10/1 9; w10 10/15 20-21; w06 11/1 29

kumjulisha ndugu mapema: km 6/00 3

Mkutano wa Utumishi: km 10/07 7

urefu: w99 1/15 16

wanaostahili kutoa sala mkutanoni: km 6/00 3; w99 1/15 15-16

ulimwengu mpya: w06 11/1 31

umuhimu: bt 18; w07 5/15 11-13; cf 133-134, 137; bh 191-192; wt 168-169; w00 12/1 16-18; w99 11/15 20

utakatifu: w06 11/1 27-31

vikundi vya lugha za kigeni: od 106

wakaribishaji: km 1/10 2; od 57, 123; km 5/00 7

wakati wa ziara ya mwangalizi wa mzunguko: km 10/08 1

Mkutano wa Utumishi: km 10/08 1; km 12/03 6; km 12/02 7

Shule ya Huduma ya Kitheokrasi: km 10/08 1, 3

Wakristo wa mapema: w10 10/15 20, 23; bt 80, 118; od 120; w02 7/15 20-21; w02 11/15 7; jv 236, 251

kusoma mbele ya watu: w11 6/15 18-19

Wanafunzi wa Biblia: w12 8/15 6; jv 44-45, 49-51, 205, 236-238, 240-241, 244-245

darasa la nyongeza (kampeni ya kutoa hotuba za watu wote): jv 249

Funzo la Mnara wa Mlinzi: jv 252

kuimba: jv 240

mahali pa kufanyia mikutano: jv 251

mikutano ya Jumapili: jv 238, 240

Mikutano ya Nyumbani: jv 238

Mikutano ya Sala, Sifa na Ushuhuda: jv 238, 247

Mikutano ya Wafanyakazi: jv 247

mikutano ya watu wote: w12 8/15 6; jv 249

Shule za Manabii: jv 247

Vikundi vya Mapambazuko kwa Ajili ya Funzo la Biblia: jv 237-238

wanawake: g 7/10 29

kufunika kichwa: lv 44; rs 402-404; w02 7/15 27

makutaniko yaliyo na dada pekee: od 73

Kuhudhuria Mikutano

familia: w09 7/15 28; w05 6/15 18; km 5/05 4; km 11/02 6; w99 7/1 18; km 3/99 4

hata wakati ambapo mtu hataki kuhudhuria: w00 12/15 13

ijapokuwa Mkristo ana majukumu mengine mengi: w98 9/1 19-21

ijapokuwa Mkristo ana matatizo ya kifedha: w02 11/15 21-22

ijapokuwa mtu anakabili majaribu: w10 11/15 18-19

ijapokuwa wengine wanatenda isivyofaa: cf 62-64; w99 2/15 21

jinsi ya kujiendesha: w06 11/1 29-30; km 8/01 3-4; km 1/98 1

kutafuna chingamu (bazooka) au kula: w06 11/1 29

jitihada za kuhudhuria mikutano: w00 9/15 9; w98 3/1 15-17, 19; jv 253

baada ya kuacha kwa muda mrefu: w02 8/1 30

dada ajitahidi kuhudhuria mikutano ijapokuwa uso ulikuwa umefura kwa sababu ya kuumwa na nyigu mara 23: yb10 241

dada atembea umbali wa kilomita 22 pamoja na watoto: yb09 138-139

dada waliongojea msaada wa serikali: w07 2/15 11

kijana anayeishi katika mji wa mbali nchini Nepal: yb09 52-53

magari mawili hayakuweza kuwabeba wote waliotaka kuhudhuria: yb07 173

Mashahidi wazee: w07 6/1 22

mfumo wa kulipasha joto Jumba la Ufalme waharibika: km 7/98 1

mifano katika Biblia: w98 3/1 16-17

ndugu aliyesafiri kwa muda wa saa kumi kila mwezi: jv 466

ndugu watembea bila viatu: yb06 101-102, 110

wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe: yb09 197-198, 207-208; w00 12/1 17; w96 11/1 15

wanavuka bandari kila waendapo mikutanoni: w02 8/1 24-25

waomba ruhusa ya kuhudhuria mikutano ijapokuwa wanaweza kufutwa kazi: yb08 23-24; g 5/07 8-9

katika nchi nyingine: km 4/08 5

kazi ya kuajiriwa inapozuia: km 2/04 1; w98 9/1 19, 21; w96 12/15 17

kufika mapema: w12 5/15 25; w10 8/15 27-28; km 8/01 3

kufungua maandiko: km 9/00 3

kuheshimu mahali pa kufanyia mikutano: km 1/98 1

kuhudhuria kwa ukawaida: w06 11/1 30-31

kuimba: w12 2/15 19; w10 12/15 23-24; w06 11/1 29; w00 3/15 18-19; w00 6/1 28; w97 2/1 24-28; jv 240

historia: w97 2/1 26-27

kufanya mazoezi ya kuimba nyumbani: km 12/09 3; w99 7/1 20

kuimba vizuri: w97 2/1 27-28

kuthamini kuimba: w10 12/15 22

manufaa: w10 12/15 22; w97 4/15 27

muziki: w97 2/1 28

kuithamini mikutano: jd 64-65

ijapokuwa habari zilezile zinazungumziwa tena na tena: w02 3/1 15-16; km 12/99 1

ijapokuwa wasemaji hawana ustadi: w02 9/15 13-14

kuifurahia mikutano: km 10/99 1; w96 7/15 12

kupenda kukusanyika pamoja: w04 12/1 16-17

kujipaka marashi: g00 8/8 9

kujiweka wakfu kunahusisha kuhudhuria mikutano: w99 11/15 20

kunufaika zaidi: g 4/12 20-22

kusambaza rekodi au maandishi ya mtu binafsi ya hotuba mbalimbali: km 4/10 2-3

kushiriki katika mikutano: od 211; w02 11/1 11; w98 3/1 15

“dhabihu ya sifa” (Ebr 13:15): w03 12/1 17

familia: km 3/99 4

jinsi ya kutumia vikuza sauti (mikrofoni): be 141-142

kuogopa kutoa maelezo: w10 10/15 23-24

kutoa maelezo: w12 2/15 18-19; w10 10/15 23-24; km 12/06 6; w03 9/1 19-22; be 70, 141; km 11/02 1; w00 3/15 19; w98 3/1 16; w98 3/15 20; km 11/98 1

maelezo yasiyofaa: w98 3/1 15

manufaa ya kushiriki: w10 3/15 16

ni nani ambao ‘wangekaa kimya,’ na wakati gani? (1Ko 14): w06 3/1 28-29

watoto na vijana: w06 11/15 31

kusikiliza mikutanoni: w09 5/15 3-4; be 14-15; km 1/01 1; w00 3/15 17-18; km 2/00 7

kutiana moyo: w02 3/1 16; be 158, 192, 266, 268-271; w96 9/1 24

kuwaalika wapya: km 3/99 1

kuwaalika watu waliohudhuria Ukumbusho: km 3/06 1

kuwaalika watu wanaozungumza lugha nyingine: km 11/09 4, 9

kuwakaribisha wale walio dhaifu wanaorudi: w04 7/1 18

kuwakaribisha wapya: km 8/01 3; km 12/01 8

kuwa makini: w02 9/15 12-14; be 14; km 8/01 3-4

kuwa mfano mzuri kwa wapya: km 9/07 4

kuwasaidia—

ndugu wahudhurie: w12 2/15 20; w99 2/1 27

wapya wanaohudhuria mikutano: km 1/10 2; km 4/07 1; km 6/02 1

wasioweza kuhudhuria: w02 1/15 19

watoto ili wafaidike: w01 5/15 23-24

kuwatia wanafunzi wa Biblia moyo wahudhurie: km 12/09 2; w08 1/15 11; km 4/05 8; km 3/01 8; km 4/97 4

licha ya hali ngumu kutanikoni: w12 4/15 31

mahali pa kuketi: km 1/10 2

Majumba ya Ufalme yafanya idadi ya wanaohudhuria iongezeke: w06 11/1 19

manufaa: w02 3/15 24-25; wt 168-169; km 8/00 3-4; g97 10/22 31; km 8/97 1

burudisho: w12 4/15 30-31; w07 5/15 13

imani inaimarishwa: w07 3/1 23-24

kuzoezwa kufundisha: w02 2/15 27-28

mikutano inafariji na kutia moyo: w12 4/15 31; w10 4/15 17; w10 11/15 18-19; w96 1/15 22

mavazi, mapambo, na usafi: w06 11/1 29; od 123

michango: od 129-130; jt 29-30; jv 343-345

Mashahidi hawaombi michango: jv 343

mtazamo kuelekea watu wanaopendezwa ambao wanahudhuria mikutano:

kuanzisha funzo la Biblia: km 10/12 7

mume anapomkataza mke asiwapeleke watoto mikutanoni: fy 133-134

mwaliko wa kuhudhuria: g 4/12 21; w09 2/1 20-23

mwanafunzi anapokuwa na kazi za shule za kufanyiwa nyumbani: km 2/04 1; w98 9/1 19, 21

simu za mkononi na peja: km 7/02 3

ushirikiano: w10 6/15 25

kusalimiana: w09 11/15 21

vijana: w02 3/15 10; km 8/00 8; jv 244-246

jinsi kunufaika zaidi na mikutano: g 4/12 20-22; km 8/00 8; w99 9/1 24; g98 9/22 18-20

kufurahia mikutano: yp1 277-279; g 7/08 21

mambo yanayoweza kuwachochea wahudhurie mikutano: g 4/12 20-22; w02 10/1 9-10

Wakristo hawaachi kuhudhuria mkutano kwa sababu ya makosa ya wanaoongoza: w97 8/1 10

Wakristo wanatiwa moyo wahudhurie mikutano: w12 4/15 30-31; bt 18; w07 5/15 11-13; cf 133-134, 137; bh 161-162, 191-192; od 211; km 2/04 1; wt 168-169; g01 3/8 12-13; w00 3/15 15-17; w00 12/1 16-18; w99 12/15 22-23; km 4/98 1; km 7/98 1; g97 10/22 31; km 8/97 1; km 12/97 1

wanawake:

‘kukaa kimya’ (1Ko 14:34): w12 9/1 9; w06 3/1 28-29

watoto: km 1/10 2; w06 11/1 30; w04 9/15 27; w02 3/15 10; w01 5/15 23-24; jv 244-246

adabu: km 8/01 4; km 5/00 7

familia zenye watoto wadogo hazipaswi kuketi katika chumba kingine: km 1/10 2

jinsi wakaribishaji wanavyoweza kuwasaidia wazazi: od 123; km 5/00 7

kutoa maelezo: w06 11/15 31; w96 12/1 13

kuwasaidia kuthamini mikutano: w97 9/1 25

kuwazoeza kusikiliza: be 16; w00 3/15 17-18; w00 4/15 30

wasiotulia au wenye kukosa adabu: km 8/01 4

wazazi wanapaswa kwenda mikutanoni pamoja na watoto wao: w10 10/15 26-27; w08 10/1 25

watoto wachanga: km 5/00 7

Yesu alihudhuria makusanyiko ya kiroho: cf 62-64; w98 3/1 18-19

Orodha ya Mikutano

(Ikiwa hakuna marejeo, ona kichwa kikuu)

Funzo la Biblia la Kutaniko (awali liliitwa Funzo la Kitabu la Kutaniko):

Funzo la Mnara wa Mlinzi:

Mkutano wa Utumishi:

Mkutano ya Utumishi wa Shambani:

Mkutano ya Watu Wote (ona kichwa Mikutano ya Watu Wote):

Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki