MIKUTANO (ya Kutaniko)
(Ona pia Majumba ya Ufalme; Matangazo)
(Kuna vichwa vidogo: Kuhudhuria Mikutano; Orodha ya Mikutano)
Collegiants (kikundi cha kidini): w99 4/15 25-26
hakuna sadaka: w09 2/1 23; jv 340-343
hali katika mikutano: km 1/10 2; w06 11/1 30
historia: jv 236-253
hotuba na sehemu nyingine za mikutano:
Ezra na Nehemia ni mfano wa kuigwa: w98 10/15 20
kuongoza sehemu zinazokusudiwa kuzungumziwa kwa maswali na majibu: w03 9/1 21-22
kuwatia wasikilizaji moyo wasome maandiko: be 145-149
kuzitayarisha: km 1/04 3
kuzitayarisha dakika ya mwisho: w99 12/1 27
wazee wanavyoweza kuwa wenye kujenga wanapofundisha: w10 10/15 24-25
Israeli (la kale): g01 3/8 13
masinagogi: w10 4/1 17-18; w02 11/15 7
katika juma la kusanyiko la mzunguko: km 4/10 4; km 2/98 7; km 1/97 3
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi: km 10/08 3
katika juma la Ukumbusho: km 2/11 4; km 3/10 4
katika nyumba za watu: w11 1/15 15; od 120
kuboresha mikutano:
wajibu wa wahubiri wote: km 4/98 7
kujitayarisha: w11 2/15 27; w10 7/15 23-24; w08 7/15 31-32; w02 9/15 13; be 27-29, 31; w98 3/1 15-16
familia: km 11/02 6; w00 3/15 19; w99 7/1 18-20; w99 8/15 29; km 3/99 4
manufaa: km 10/08 1
kusikiliza Sing to Jehovah—Piano Accompaniment kabla na baada ya mikutano: km 12/11 3
kusoma kwa sauti mbele ya watu: be 26, 83-85, 105; km 9/96 7
kwa usahihi: be 83-85
kusudi: w09 3/15 20; km 5/05 4
kutafsiri kwa lugha ya ishara:
kama dada wanaotafsiri wanapaswa kujifunika kichwa: w09 11/15 12-13
kutangaza wimbo: km 5/07 3
kuwa makini mikutanoni: w02 9/15 12-14
kuzingatia wakati:
kuhakikisha kwamba mikutano inaanza na kuisha kwa wakati: km 1/04 3
muda uliotengewa kila mkutano: km 8/12 3; w09 2/1 20-23; km 10/08 1
mabadiliko katika juma la siku ya kusanyiko la pekee: km 4/10 4
maelezo: w11 3/1 7-8; g 8/10 6-7; w09 2/1 20-23; od 59-77; w02 3/15 24-25; w02 11/15 8; jt 19-20; w98 3/1 14-19; rq 28
maelezo ya ndugu kwenye Baraza Linaloongoza: w96 7/15 12
maelezo ya watu wasio Mashahidi: w09 2/1 23
mtu anayesomea dini: w07 3/1 6
makutaniko madogo: od 72-73
makutaniko yanayotumia Jumba la Ufalme lilelile: w05 12/1 26; od 122; w04 4/15 22
mambo yaliyoonwa:
aona upendo kati ya Mashahidi anapowatazama akiwa nje ya Jumba la Ufalme: yb11 248-249
baba aliyekuwa mpinzani awalinda ndugu wakati wa mkutano: yb08 159
dada hakufutwa kazi: g 5/07 8-9
daktari: w98 4/15 26-27
gerezani: yb11 206-207; yb07 116; yb06 123; w98 10/15 26
Jumba la Ufalme lapelekwa msituni: w00 12/1 17
kijana aliyejitenga na watu wengine asaidiwa kuhudhuria mikutano: w99 6/1 8
kukabiliana na matatizo ya usemi: yb11 69
mama aliyekuwa thabiti: w97 9/1 25
mama na binti waalikwa na Shahidi aliyekuwa akihubiri barabarani: w01 2/1 8
Mashahidi wahudhuria mkutano baada ya kifo cha mwana wao: w01 5/1 11
Mashahidi walipokuwa uhamishoni Siberia: yb11 206-207
mikutano magerezani: yb08 124, 156-157, 160
mtoto mwenye miaka sita aliyesema uwongo: km 8/00 4
mtu aliyevutiwa na mikutano: g01 4/8 32
mtu aliyevutiwa na ukaribishaji: yb07 53-54
mwanamke aliyekaribishwa alia anapoona unyofu wa Mashahidi: yb09 64
mwanamke aliyesali kuhusu kuhudhuria mikutano: yb11 249-250
mwanamke kiziwi aliyeshuka moyo: w02 3/15 25
mwanamke mwenye haya avutiwa na upendo: w96 4/1 9
mwanamume aliyefikiri kwamba anaijua Biblia: yb11 57-58
mwanamume mgeni: g 8/07 11
mwanasiasa ambaye hakuwa amenyoa ndevu wala kuchana nywele ahudhuria mkutano: jv 251
ndugu hawakuacha kufanya mikutano: w00 12/1 17
painia awaalika wote wahudhurie Shule ya Huduma ya Kitheokrasi: jv 299
ripoti za wanafunzi wa chuo: w02 3/15 25; w99 11/15 32
wakati wa marufuku: yb12 124; yb11 226; yb10 93-94; yb07 193, 195; yb06 96; w03 9/1 27; w01 12/1 27; g00 10/22 23; jv 449
wakati wa vita: w01 6/1 10
watu wanaopendezwa wafanya mikutano: w11 3/1 24-25; w96 8/15 25
matumizi ya neno “ndugu” na “dada” kutanikoni: w09 5/15 19; km 4/96 7
mifano katika Biblia:
mkutano pamoja na Yesu huko Galilaya (Mt 28): w10 10/15 24
mikutano inapopigwa marufuku:
jambo la kufanya: w08 3/15 5; od 177; km 6/04 8; wt 169; jv 449
mikutano inavyofanana na ibada iliyofanywa katika masinagogi zamani: w10 4/1 18
mikutano inayojenga: w10 10/15 20-25; w10 12/15 6; w98 3/1 15
mikutano katika juma la kusanyiko la wilaya: km 4/10 4
mikutano yathaminiwa: w10 10/15 25; w07 5/15 11-12; w02 3/15 25; w02 5/15 8; w00 3/15 15-19; w00 6/1 30; w98 3/1 14-19; w96 12/15 15-17
mipango kwa ajili ya—
kusikiliza mikutano kwa kutumia simu: km 11/09 11
watu wenye umri mkubwa: km 12/02 1
msingi katika Biblia: w09 2/1 20; od 59-60; rs 63-64
saa za mikutano: od 122
kubadili saa za mikutano kila mwaka: w05 12/1 26; od 122
mabadiliko kuanzia 2009: yb09 4; km 10/08 1, 7
sala: w10 10/1 9; w10 10/15 20-21; w06 11/1 29
kumjulisha ndugu mapema: km 6/00 3
Mkutano wa Utumishi: km 10/07 7
urefu: w99 1/15 16
wanaostahili kutoa sala mkutanoni: km 6/00 3; w99 1/15 15-16
ulimwengu mpya: w06 11/1 31
umuhimu: bt 18; w07 5/15 11-13; cf 133-134, 137; bh 191-192; wt 168-169; w00 12/1 16-18; w99 11/15 20
utakatifu: w06 11/1 27-31
vikundi vya lugha za kigeni: od 106
wakaribishaji: km 1/10 2; od 57, 123; km 5/00 7
wakati wa ziara ya mwangalizi wa mzunguko: km 10/08 1
Mkutano wa Utumishi: km 10/08 1; km 12/03 6; km 12/02 7
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi: km 10/08 1, 3
Wakristo wa mapema: w10 10/15 20, 23; bt 80, 118; od 120; w02 7/15 20-21; w02 11/15 7; jv 236, 251
kusoma mbele ya watu: w11 6/15 18-19
Wanafunzi wa Biblia: w12 8/15 6; jv 44-45, 49-51, 205, 236-238, 240-241, 244-245
darasa la nyongeza (kampeni ya kutoa hotuba za watu wote): jv 249
Funzo la Mnara wa Mlinzi: jv 252
kuimba: jv 240
mahali pa kufanyia mikutano: jv 251
mikutano ya Jumapili: jv 238, 240
Mikutano ya Nyumbani: jv 238
Mikutano ya Sala, Sifa na Ushuhuda: jv 238, 247
Mikutano ya Wafanyakazi: jv 247
mikutano ya watu wote: w12 8/15 6; jv 249
Shule za Manabii: jv 247
Vikundi vya Mapambazuko kwa Ajili ya Funzo la Biblia: jv 237-238
wanawake: g 7/10 29
kufunika kichwa: lv 44; rs 402-404; w02 7/15 27
makutaniko yaliyo na dada pekee: od 73
Kuhudhuria Mikutano
familia: w09 7/15 28; w05 6/15 18; km 5/05 4; km 11/02 6; w99 7/1 18; km 3/99 4
hata wakati ambapo mtu hataki kuhudhuria: w00 12/15 13
ijapokuwa Mkristo ana majukumu mengine mengi: w98 9/1 19-21
ijapokuwa Mkristo ana matatizo ya kifedha: w02 11/15 21-22
ijapokuwa mtu anakabili majaribu: w10 11/15 18-19
ijapokuwa wengine wanatenda isivyofaa: cf 62-64; w99 2/15 21
jinsi ya kujiendesha: w06 11/1 29-30; km 8/01 3-4; km 1/98 1
kutafuna chingamu (bazooka) au kula: w06 11/1 29
jitihada za kuhudhuria mikutano: w00 9/15 9; w98 3/1 15-17, 19; jv 253
baada ya kuacha kwa muda mrefu: w02 8/1 30
dada ajitahidi kuhudhuria mikutano ijapokuwa uso ulikuwa umefura kwa sababu ya kuumwa na nyigu mara 23: yb10 241
dada atembea umbali wa kilomita 22 pamoja na watoto: yb09 138-139
dada waliongojea msaada wa serikali: w07 2/15 11
kijana anayeishi katika mji wa mbali nchini Nepal: yb09 52-53
magari mawili hayakuweza kuwabeba wote waliotaka kuhudhuria: yb07 173
Mashahidi wazee: w07 6/1 22
mfumo wa kulipasha joto Jumba la Ufalme waharibika: km 7/98 1
mifano katika Biblia: w98 3/1 16-17
ndugu aliyesafiri kwa muda wa saa kumi kila mwezi: jv 466
ndugu watembea bila viatu: yb06 101-102, 110
wakati wa vita vya wenyewe kwa wenyewe: yb09 197-198, 207-208; w00 12/1 17; w96 11/1 15
wanavuka bandari kila waendapo mikutanoni: w02 8/1 24-25
waomba ruhusa ya kuhudhuria mikutano ijapokuwa wanaweza kufutwa kazi: yb08 23-24; g 5/07 8-9
katika nchi nyingine: km 4/08 5
kazi ya kuajiriwa inapozuia: km 2/04 1; w98 9/1 19, 21; w96 12/15 17
kufika mapema: w12 5/15 25; w10 8/15 27-28; km 8/01 3
kufungua maandiko: km 9/00 3
kuheshimu mahali pa kufanyia mikutano: km 1/98 1
kuhudhuria kwa ukawaida: w06 11/1 30-31
kuimba: w12 2/15 19; w10 12/15 23-24; w06 11/1 29; w00 3/15 18-19; w00 6/1 28; w97 2/1 24-28; jv 240
historia: w97 2/1 26-27
kufanya mazoezi ya kuimba nyumbani: km 12/09 3; w99 7/1 20
kuimba vizuri: w97 2/1 27-28
kuthamini kuimba: w10 12/15 22
manufaa: w10 12/15 22; w97 4/15 27
muziki: w97 2/1 28
kuithamini mikutano: jd 64-65
ijapokuwa habari zilezile zinazungumziwa tena na tena: w02 3/1 15-16; km 12/99 1
ijapokuwa wasemaji hawana ustadi: w02 9/15 13-14
kuifurahia mikutano: km 10/99 1; w96 7/15 12
kupenda kukusanyika pamoja: w04 12/1 16-17
kujipaka marashi: g00 8/8 9
kujiweka wakfu kunahusisha kuhudhuria mikutano: w99 11/15 20
kunufaika zaidi: g 4/12 20-22
kusambaza rekodi au maandishi ya mtu binafsi ya hotuba mbalimbali: km 4/10 2-3
kushiriki katika mikutano: od 211; w02 11/1 11; w98 3/1 15
“dhabihu ya sifa” (Ebr 13:15): w03 12/1 17
familia: km 3/99 4
jinsi ya kutumia vikuza sauti (mikrofoni): be 141-142
kuogopa kutoa maelezo: w10 10/15 23-24
kutoa maelezo: w12 2/15 18-19; w10 10/15 23-24; km 12/06 6; w03 9/1 19-22; be 70, 141; km 11/02 1; w00 3/15 19; w98 3/1 16; w98 3/15 20; km 11/98 1
maelezo yasiyofaa: w98 3/1 15
manufaa ya kushiriki: w10 3/15 16
ni nani ambao ‘wangekaa kimya,’ na wakati gani? (1Ko 14): w06 3/1 28-29
watoto na vijana: w06 11/15 31
kusikiliza mikutanoni: w09 5/15 3-4; be 14-15; km 1/01 1; w00 3/15 17-18; km 2/00 7
kutiana moyo: w02 3/1 16; be 158, 192, 266, 268-271; w96 9/1 24
kuwaalika wapya: km 3/99 1
kuwaalika watu waliohudhuria Ukumbusho: km 3/06 1
kuwaalika watu wanaozungumza lugha nyingine: km 11/09 4, 9
kuwakaribisha wale walio dhaifu wanaorudi: w04 7/1 18
kuwakaribisha wapya: km 8/01 3; km 12/01 8
kuwa makini: w02 9/15 12-14; be 14; km 8/01 3-4
kuwa mfano mzuri kwa wapya: km 9/07 4
kuwasaidia—
ndugu wahudhurie: w12 2/15 20; w99 2/1 27
wapya wanaohudhuria mikutano: km 1/10 2; km 4/07 1; km 6/02 1
wasioweza kuhudhuria: w02 1/15 19
watoto ili wafaidike: w01 5/15 23-24
kuwatia wanafunzi wa Biblia moyo wahudhurie: km 12/09 2; w08 1/15 11; km 4/05 8; km 3/01 8; km 4/97 4
licha ya hali ngumu kutanikoni: w12 4/15 31
mahali pa kuketi: km 1/10 2
Majumba ya Ufalme yafanya idadi ya wanaohudhuria iongezeke: w06 11/1 19
manufaa: w02 3/15 24-25; wt 168-169; km 8/00 3-4; g97 10/22 31; km 8/97 1
burudisho: w12 4/15 30-31; w07 5/15 13
imani inaimarishwa: w07 3/1 23-24
kuzoezwa kufundisha: w02 2/15 27-28
mikutano inafariji na kutia moyo: w12 4/15 31; w10 4/15 17; w10 11/15 18-19; w96 1/15 22
mavazi, mapambo, na usafi: w06 11/1 29; od 123
michango: od 129-130; jt 29-30; jv 343-345
Mashahidi hawaombi michango: jv 343
mtazamo kuelekea watu wanaopendezwa ambao wanahudhuria mikutano:
kuanzisha funzo la Biblia: km 10/12 7
mume anapomkataza mke asiwapeleke watoto mikutanoni: fy 133-134
mwaliko wa kuhudhuria: g 4/12 21; w09 2/1 20-23
mwanafunzi anapokuwa na kazi za shule za kufanyiwa nyumbani: km 2/04 1; w98 9/1 19, 21
simu za mkononi na peja: km 7/02 3
ushirikiano: w10 6/15 25
kusalimiana: w09 11/15 21
vijana: w02 3/15 10; km 8/00 8; jv 244-246
jinsi kunufaika zaidi na mikutano: g 4/12 20-22; km 8/00 8; w99 9/1 24; g98 9/22 18-20
kufurahia mikutano: yp1 277-279; g 7/08 21
mambo yanayoweza kuwachochea wahudhurie mikutano: g 4/12 20-22; w02 10/1 9-10
Wakristo hawaachi kuhudhuria mkutano kwa sababu ya makosa ya wanaoongoza: w97 8/1 10
Wakristo wanatiwa moyo wahudhurie mikutano: w12 4/15 30-31; bt 18; w07 5/15 11-13; cf 133-134, 137; bh 161-162, 191-192; od 211; km 2/04 1; wt 168-169; g01 3/8 12-13; w00 3/15 15-17; w00 12/1 16-18; w99 12/15 22-23; km 4/98 1; km 7/98 1; g97 10/22 31; km 8/97 1; km 12/97 1
wanawake:
‘kukaa kimya’ (1Ko 14:34): w12 9/1 9; w06 3/1 28-29
watoto: km 1/10 2; w06 11/1 30; w04 9/15 27; w02 3/15 10; w01 5/15 23-24; jv 244-246
adabu: km 8/01 4; km 5/00 7
familia zenye watoto wadogo hazipaswi kuketi katika chumba kingine: km 1/10 2
jinsi wakaribishaji wanavyoweza kuwasaidia wazazi: od 123; km 5/00 7
kutoa maelezo: w06 11/15 31; w96 12/1 13
kuwasaidia kuthamini mikutano: w97 9/1 25
kuwazoeza kusikiliza: be 16; w00 3/15 17-18; w00 4/15 30
wasiotulia au wenye kukosa adabu: km 8/01 4
wazazi wanapaswa kwenda mikutanoni pamoja na watoto wao: w10 10/15 26-27; w08 10/1 25
watoto wachanga: km 5/00 7
Yesu alihudhuria makusanyiko ya kiroho: cf 62-64; w98 3/1 18-19
Orodha ya Mikutano
(Ikiwa hakuna marejeo, ona kichwa kikuu)
Funzo la Biblia la Kutaniko (awali liliitwa Funzo la Kitabu la Kutaniko):
Funzo la Mnara wa Mlinzi:
Mkutano wa Utumishi:
Mkutano ya Utumishi wa Shambani:
Mkutano ya Watu Wote (ona kichwa Mikutano ya Watu Wote):
Shule ya Huduma ya Kitheokrasi: