Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • w12 1/15 kur. 1-2
  • Yaliyomo

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

  • Yaliyomo
  • Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
  • Vichwa vidogo
  • MAKALA ZA FUNZO
  • KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO
  • PIA KATIKA TOLEO HILI
Mnara wa Mlinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova—2012
w12 1/15 kur. 1-2

Yaliyomo

Januari 15, 2012

Toleo la Funzo

MAKALA ZA FUNZO

© 2012 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania. Haki zote zimehifadhiwa.

FEBRUARI 27, 2012–MACHI 4, 2012

Wakristo wa Kweli Wanaliheshimu Neno la Mungu

UKURASA WA 4 • NYIMBO: 113, 116

MACHI 5-11, 2012

Jifunze Jinsi ya Kukesha Kutoka kwa Mitume wa Yesu

UKURASA WA 9 • NYIMBO: 125, 43

MACHI 12-18, 2012

Jifunze Kutokana na ‘Ile Picha ya Kweli’

UKURASA WA 16 • NYIMBO: 107, 13

MACHI 19-25, 2012

Kumtolea Yehova Dhabihu kwa Nafsi Yote

UKURASA WA 21 • NYIMBO: 66, 56

MACHI 26, 2012–APRILI 1, 2012

Ukuhani wa Kifalme Utawanufaisha Wanadamu Wote

UKURASA WA 26 • NYIMBO: 60, 102

KUSUDI LA MAKALA ZA FUNZO

MAKALA YA 1 YA FUNZO UKURASA WA 4-8

Makala hii itaonyesha jinsi ambavyo Wakristo wanyoofu katika historia yote wamejitahidi kuongozwa na Neno la Mungu. Mazungumzo hayo yanakazia andiko letu la mwaka wa 2012.

MAKALA YA 2 YA FUNZO UKURASA WA 9-13

Makala hii inazungumzia mambo matatu ambayo tunaweza kujifunza kutokana na jinsi mitume na Wakristo wengine wa karne ya kwanza walivyoendelea kukesha. Makala hii itaimarisha azimio letu la kutoa ushahidi kamili kuhusu Ufalme wa Mungu.

MAKALA YA 3 NA YA 4 YA FUNZO UKURASA WA 16-25

Sheria ya Musa iliwaamuru Waisraeli wa kale kumtolea Yehova dhabihu mara kwa mara. Wakristo hawako chini ya Sheria hiyo. Hata hivyo, kanuni zinazopatikana katika Sheria hiyo zinatufunza kuwa na mwelekeo wa kuwa wenye shukrani ambao Yehova anawatarajia waabudu wake leo waonyeshe, kama makala hizi zitakavyoeleza.

MAKALA YA 5 YA FUNZO UKURASA WA 26-30

Wanadamu wana uhitaji mkubwa sana wa kupatanishwa na Mungu. Makala hii inaelezea kwa undani jinsi ambavyo ukuhani wa kifalme utakavyosaidia kutimiza upatanisho huo, na inaeleza jinsi tutakavyofaidika.

PIA KATIKA TOLEO HILI

3 Naam, Hili Ni Toleo la Funzo!

14 ‘Ninawezaje Kuhubiri?’

15 Kufanya Wakati wa Kujifunza Uwe Wenye Kufurahisha na Kunufaisha

31 Kutoka Katika Hifadhi ya Vitu Vyetu vya Kale

JALADA: Soko la barabarani huko San Cristóbal de las Casas, Mexico. Wenzi wa ndoa mapainia ambao walijifunza lugha ya Kitzotzil wakiihubiria familia ya wenyeji wa eneo hilo

MEXICO

IDADI YA WATU

108,782,804

WAHUBIRI

710,454

KAZI YA KUTAFSIRI

Lugha 30 za Mexico

    Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili
    • Shiriki
    • Mapendezi
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Masharti ya Utumiaji
    • Sera ya Faragha
    • Mpangilio wa Faragha
    • JW.ORG
    • Ingia
    Shiriki