Ya kufanana na ile T-31 pp. 1-4 Unawaza maisha itakuwa je uku ku mbele? Ufalme wa Mungu njo nini? Ufalme wa Mungu njo nini? Mateso itaishaka? Mateso itaishaka? Dunia iko mu mikono ya nani? Dunia iko mu mikono ya nani? Bafu batafufukaka? Bafu batafufukaka? Unawaza Bible ni nini? Unawaza Bible ni nini? Ni nini njo inaletaka furaa mu famiye? Ni nini njo inaletaka furaa mu famiye? Tunezi kupata wapi majibu ya maulizo ya lazima sana ya mu maisha? Tunezi kupata wapi majibu ya maulizo ya lazima sana ya mu maisha? Mateso itaishaka? Mateso itaishaka?