Utangulizi
UNAWAZA NAMNA GANI?
Kama Biblia inatoka kwa Mungu, inaweza kuokoka hatari yoyote?
Biblia yenyewe inasema hivi: ‘Majani mabichi yamekauka, ua limenyauka; lakini kwa habari ya neno la Mungu wetu, litadumu mupaka wakati usio na kipimo.’—Isaya 40:8.
Habari zenye kufuata zinazungumuzia kwa njia yenye kuvutia namna Biblia iliokoka.