Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 1/02 uku. 2
  • ‘Weka Kando Kitu Fulani’

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • ‘Weka Kando Kitu Fulani’
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2002
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Sisi Wote Tuna Kitu Fulani cha Kumtolea Yehova
    Huduma Yetu ya Ufalme—2008
  • Watu Wenye Kutoa kwa Ukarimu Ni Wenye Furaha
    Munara wa Mulinzi Unaotangaza Ufalme wa Yehova (Gazeti la Funzo)—2018
  • ‘Uweke Kitu Fulani Pembeni’
    Buku ya Mukutano Utumishi na Maisha ya Mukristo—2023
  • Biblia Inasema Nini Juu ya Kutoa?
    Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Huduma Yetu ya Ufalme—2002
km 1/02 uku. 2

‘Weka Kando Kitu Fulani’

Katika kutaniko la Kikristo la mapema, kulikuwa mahitaji ya kimwili yaliyoomba kutolewa uangalifu. Kulingana na jinsi kila mtu alivyofanikiwa, aliombwa “aweke kando kitu fulani” kuwa mchango ili kutimiza mahitaji hayo. (1 Kor. 16:​1-3) Kama tokeo la ukarimu wao, wote walishangilia kwa kutoa “maonyesho mengi ya shukrani kwa Mungu.”​—2 Kor. 9:​11, 12.

Leo, kazi ya ulimwenguni pote ya watu wa Yehova inaendelea kupanuka, nayo inaomba utegemezo mwingi zaidi wa kifedha. Ni jambo lenye kufaa kwamba sisi pia ‘tuweke kando kitu fulani’ kwa ukawaida ili kusaidia kutimiza uhitaji huo. (2 Kor. 8:​3, 4) Utoaji wa kimwili unaweza kufanywa kwa njia mbalimbali. (Ona Mnara wa Mlinzi wa Novemba 1, 2001, ukurasa wa 28-9.) Kwa njia yenye kufaa, tunaona hilo kuwa pendeleo linaloleta furaha ya kweli.​—Mdo. 20:35.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine