JUMA TOKEA TAREHE 23 MWEZI WA 3
Wimbo 76
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 3 fu. 1-7, kisanduku kwenye uku. 29
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Mwanzo 47-50
Na. 1: Mwanzo 48:1-16
Na. 2: Je, Tumwogope Shetani?
Na. 3: Msaada wa Malaika wa Mungu
(lr sura 11)
❑ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 118
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 20: “Tuunge Mkono Maoni ya Biblia Kuhusu Mazishi—Sehemu ya 2.” Mavazi ya Kilio. Fungu la 1 mpaka 9. Mazungumzo ya maulizo na majibu yatakayoongozwa na mzee ambaye atasaidia kwa upole wasikilizaji wapendezwe na mashauri hayo yanayotolewa kwa wakati unaofaa. Kazia kanuni za Biblia zinazozungumziwa katika habari hii.
Dak. 10: Tuonyeshe Heshima kwa Kusikiliza kwa Uangalifu Wasikilizaji Wetu na Kufikiria Maoni yao. Hotuba na mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kuchukuliwa katika kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 186-187. Fanyeni onyesho kuhusu jinsi tunavyoweza kutumia mashauri hayo tunapohubiria watu. Kisha, omba wasikilizaji waeleze kwa nini namna ya kutoa ushahidi ya mhubiri huyo ilikuwa na matokeo mazuri.
Wimbo 89