JUMA TOKEA TAREHE 30 MWEZI WA 3
Wimbo 217
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 3 fu. 8-15, kisanduku kwenye uku. 30
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 1-6
Na. 1: Kutoka 1:1-19
Na. 2: Yesu Anatufundisha Kusali (lr sura 12)
Na. 3: Je, Uponyaji wa Kimuujiza Leo Unafanywa Kupitia Roho ya Mungu? (rs uku. 355 fu. 2–uku. 356 fu. 2)
❑ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 128
Dak. 5: Matangazo. Tia ndani matangazo ya mwisho kuhusu Ukumbusho.
Dak. 15: Tujitayarishe Ili Kusaidia Watu Wenye Kupendezwa Watakaohuzuria Ukumbusho. Hotuba itakayotolewa na mwangalizi wa utumishi atakayekumbusha wahubiri daraka lao la kusaidia wanafunzi wa Biblia, wahubiri ambao wameacha kutenda na wengine watakaohuzuria Ukumbusho, kama vile watu tunaofahamiana nao na watu wa jamaa. (Ona Huduma Yetu ya Ufalme ya mwezi wa 3, 2008, ukurasa wa 6.) Tia ndani onyesho fupi kuhusu jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa na mutu mwenye kupendezwa aliyehuzuria Ukumbusho. Kumbusha wote kuhusu usomaji wa Biblia kwa ajili ya Ukumbusho; usomaji huo utaanza Siku ya Yenga tarehe 5, mwezi wa 4. Unaweza kutoa mapendekezo yenye kufaa kuhusu jinsi ya kufanya usomaji huo.
Dak. 15: “Biblia—Kitabu cha Historia na Unabii.” Maneno ya utangulizi yasifikie dakika moja, kisha uendelee na mazungumzo ya maulizo na majibu.
Wimbo 213