JUMA TOKEA TAREHE 6 MWEZI WA 4
Wimbo 37
❑ Funzo la Biblia la Kutaniko:
lv sura 3 fu. 16-21
❑ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Kutoka 7-10
Na. 1: Kutoka 9:1-19
Na. 2: Wale Walioitwa Wawe Wanafunzi wa Yesu (lr sura 13)
Na. 3: Namna Gani Tunaweza Kupatanisha Wagalatia 6:2 na Wagalatia 6:5?
❑ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 52
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jinsi ya Kutoa Sababu Zenye Kusadikisha. Hotuba yenye shauku na mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kutegemea kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 255-257.
Dak. 20: “Tuunge Mkono Maoni ya Biblia Kuhusu Mazishi−Sehemu ya 2.” Kutayarisha Mazishi. Fungu la 10 mpaka 17. Mazungumzo ya maulizo na majibu yatakayoongozwa na mzee ambaye atasaidia kwa upole wasikilizaji wapendezwe na mashauri hayo yanayotolewa kwa wakati unaofaa. Kazia kanuni za Biblia zinazozungumziwa katika habari hii.
Wimbo 72