Programu ya Juma Tokea Tarehe 22 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 22 MWEZI WA 3
Wimbo 69 (91)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 2 fu. 1-8
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 10-13
Na. 1: 1 Samweli 10:17-27
Na. 2: Je, Mwazimisho wa Krismasi (Noël) Unapatana na Biblia? (rs uku. 275 fu. 3—uku. 276 fu. 3)
Na. 3: Kwa Nini Fundisho la Mageuzi Halipatani na Biblia
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 8 (87)
Dak. 5: Matangazo. Tia ndani tangazo lolote linalohusu Ukumbusho.
Dak. 15: Jitayarishe Kutolea Watu Gazeti la Pekee la Mnara wa Mlinzi wa tarehe 1 mwezi wa 4. Zungumzia habari zilizo katika gazeti hilo. Omba wasikilizaji waeleze ni ulizo gani na andiko gani wamepanga kutumia ili kulitolea watu. Mufanye maonyesho mawili.
Dak. 15: Muwasaidie Wenye Kupendezwa Ambao Watahuzuria Ukumbusho. Hotuba itakayotolewa na mzee ambaye atakumbusha wahubiri daraka lao la kuwasaidia wanafunzi wa Biblia, wahubiri wasiotenda, na wageni wengine. (Ona Huduma Yetu ya Ufalme ya mwezi wa 3, 2008, ukurasa wa 6.) Mufanye onyesho fupi. Kumbusha wote kuhusu usomaji wa Biblia unaopendekezwa wakati wa Ukumbusho.
Wimbo 109 (105)