Programu ya Juma Tokea Tarehe 29 Mwezi wa 3
JUMA TOKEA TAREHE 29 MWEZI WA 3
Wimbo 93 (63)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 2 fu. 9-14
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 14-15
Na. 1: 1 Samweli 14:24-35
Na. 2: Ni Katika Njia Gani Tunaweza Kumkaribia Yehova (Yak. 4:8)
Na. 3: Watu Wenye Hekima ao Wamajusi, Walioongozwa na Nyota Walikuwa Nani? (rs uku. 276 fu. 4—uku. 277 fu. 2)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 112 (49)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jinsi ya Kuanzisha Mafunzo za Biblia. Julisha wasikilizaji siku ijayo ambayo imepangwa ili kuanzisha mafunzo ya Biblia. Uliza mhubiri ambaye ameweza kuanzisha na kuongoza mafunzo ya Biblia. Ni namna gani ya kuanzisha mazungumzo ambayo ameona kuwa yenye matokeo katika eneo lenu? Anafikiria mambo gani anapowarudilia watu? Mwombe afanye onyesho moja kuhusu namna anavyoanzisha mazungumzo.
Dak. 10: Shiriki Katika Kazi Kubwa ya Kuwatafuta Wale Wanaostahili! Hotuba itakayotegemea habari iliyo katika kitabu Tengenezo kwenye kichwa kidogo “Kuwatafuta Wale Wanaostahili,” ukurasa wa 95.
Dak. 10: “Tusaidiane Vizuri Tunapohubiri Pamoja.” Mazungumzo ya maulizo na majibu.
Wimbo 76 (178)