Programu ya Juma Tokea Tarehe 5 Mwezi wa 4
JUMA TOKEA TAREHE 5 MWEZI WA 4
Wimbo 2 (212)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura ya 2 fu. 15-20, kisanduku kwenye ukurasa wa 23
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 1 Samweli 16-18
Na. 1: 1 Samweli 18:1-16
Na. 2: Tunapaswa Kufikiria Nini Tunapochunguza Desturi za Krismasi? (rs uku. 277 fu. 3-4)
Na. 3: Kwa Nini Tuendelee Kuwakaribisha Wageni? (Rom. 12:13)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 124 (67)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Ikiwa Msikilizaji Anasema, ‘Mimi Siamini Mungu.’ Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kutegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 220.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko.
Dak. 10: Rudilia Wenye Kupendezwa Ambao Walihuzuria Ukumbusho. Hotuba. Taja hesabu ya watu waliohuzuria Ukumbusho, na eleza mambo yaliyoonwa yanayohusiana na Ukumbusho. Tia moyo wote warudilie wenye kupendezwa ambao walihuzuria Ukumbusho, wakiwa na mradi wa kuanzisha funzo la Biblia. Pia, watawaalika kwenye hotuba ya pekee itakayotolewa baadaye. Mufanye onyesho ambamo mhubiri anamwalika mwenye kupendezwa kwenye hotuba ya pekee.
Wimbo 79 (66)