Programu ya Juma Tokea Tarehe 17 Mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 17 MWEZI WA 5
Wimbo 49 (85)
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cf sura 4 fu. 19-24, kisanduku kwenye uku. 45
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: 2 Samweli 9-12
Na. 1: 2 Samweli 10:1-12
Na. 2: Kwa Nini Yesu Alifanya Mafundisho Yake Yategemee Maandiko? (Yohana 7:16-18)
Na. 3: Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutengeneza Sanamu Zinazoabudiwa? (rs uku. 261 fu. 1-4)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 12 (109)
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Je, Unaweza Kuwa Painia Msaidizi Wakati wa Mapumziko? Hotuba na Mazungumzo pamoja na wasikilizaji. Zungumzia kwa kifupi habari iliyo katika kitabu Tengenezo ukurasa wa 112-113, inayoonyesha mambo ambayo mutu anapaswa kutimiza ili kuwa painia msaidizi. Omba wale ambao wametumia wakati wao wa mapumziko ya kazi ao ya masomo ili kufanya kazi ya upainia, watoe maelezo kuhusu baraka walizopata.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Mahubiri Yasiyo Rasmi (Kuhubiri Hata Ikiwa Haukupanga Kufanya Hivyo). Mazungumzo pamoja na wasikilizaji yenye kutegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 101, fungu la 2, mpaka kwenye ukurasa wa 102, fungu la 2. Mutoe maelezo ao kufanya onyesho kuhusu jambo moja ao mambo mawili yenye kupendeza yanayohusu kuhubiri hata ikiwa mutu hakupanga kufanya hivyo.
Dak. 10: “Wahubiri Wakristo Wanahitaji Kusali.” Mazungumzo ya maulizo na majibu.
Wimbo 67 (161)