Programu ya Juma Tokea Tarehe 5 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 5 MWEZI WA 9
Wimbo 75 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 9 fu. 1-7, kisanduku kwenye uku. 68, 70 (Dak. 25)
□ Shule ya Huduma ya Kitheokrasi:
Usomaji wa Biblia: Zaburi 119 (Dak. 10)
Na. 1: Zaburi 119:49-72 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Maandiko Yanatia Moyo Kumwogopa Yehova?—Kum. 5:29 (Dak. 5)
Na. 3: Ufalme wa Mungu Utafufua Wafu—rs uku. 316 fu. 4-5 (Dak. 5)
□ Mkutano wa Utumishi:
Wimbo 111
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Tunajifunza Nini? Mazungumzo. Musome andiko la Matendo 5:17-42. Muzungumzie jinsi habari hiyo inavyoweza kutusaidia katika kazi ya kuhubiri.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Mujitayarishe kwa Ajili ya Mahubiri Katika Familia. Sehemu ya kuuliza watu maulizo na onyesho. Uliza maulizo mume na muke wake na familia iliyo na watoto kuhusu jinsi wanavyotumia Ibada ya Familia ya mangaribi ili kujitayarisha kwa ajili ya mahubiri. Kisha mufanye onyesho fupi la baba mmoja wa familia pamoja na watu wa familia wanavyojitayarisha.
Wimbo 88 na Sala