Programu ya Juma Tokea Tarehe 2 mwezi wa 1
JUMA TOKEA TAREHE 2 MWEZI WA 1
Wimbo 118 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 15 fu. 1-7, kisanduku kwenye uku. 116 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 24-28 (Dak. 10)
Na. 1: Isaya 27:1-13 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Usiwe na Shaka Hata Kidogo Kwamba Mungu Anakupenda—Isa. 57:15 (Dak. 5)
Na. 3: Uhai wa Wanadamu Una Kusudi Gani?—rs uku. 328 fu. 1–uku. 329 fu. 2 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 65
Dak. 10: Matangazo. Kwa kutumia njia mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zinazoonyeshwa kwenye ukurasa huu, mufanye onyesho kuhusu jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi wa 1.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 15: Mapendekezo Kuhusu Jinsi ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 1. Mazungumuzo. Kwa muda wa dakika moja ao mbili, onyesha habari fulani zinazoweza kupendeza watu katika eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Mnara wa Mlinzi, omba wasikilizaji wapendekeze maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na kisha uwaombe wapendekeze maandiko wanayoweza kusoma. Ufanye vivyo hivyo kuhusu habari za kwanza za Amkeni! na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu habari nyingine moja ya Mnara wa Mlinzi ao ya Amkeni! Tia moyo wahubiri wajikaze sana kutolea watu Amkeni! nafasi za biashara. Omba mwangalizi wa utumishi aeleze mipango iliyochukuliwa katika kutaniko lenu ili kufanya hivyo. Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa. Katika onyesho linalohusu jinsi ya kutolea watu gazeti Amkeni!, muonyeshe jinsi munavyoweza kulitoa munapohubiri mahali watu wanafanya biashara.
Wimbo 86 na Sala