Programu ya Juma Tokea Tarehe 27 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 27 MWEZI WA 2
Wimbo 135 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 17 fu. 8-14, kisanduku kwenye uku. 137 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Isaya 63-66 (Dak. 10)
Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi (Dak. 20)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 114
Dak. 10: Matangazo. Kwa kutumia njia mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zinazopendekezwa kwenye ukurasa wa 4, mufanye onyesho kuhusu jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi wa 3.
Dak. 20: Saidia Wale Wasioamini Biblia. Mazungumuzo yenye kutegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 38-42. Mufanye onyesho moja ao maonyesho mawili.
Dak. 5: “Faidika na Gazeti la Munara wa Mulinzi Katika Kiingereza Rahisi.” Hotuba. Ndugu ambaye atapewa sehemu hii atafanya kopi 2 za gazeti hilo kutoka kituo chetu cha Internet jw.org. [Munara wa Mulinzi huo utapatikana chini ya kichwa “Latest Magazines (English).” Atachagua kichwa kidogo “Watchtower (Simplified)” katika maandishi ya PDF.] Majuma mengi mbele ya kuzungumuzia sehemu hii, kopi hizo 2 zitawekwa kwenye meza ya magazeti ili wahubiri waone jinsi gazeti hilo lilivyo.
Wimbo 100 na Sala