Programu ya Juma Tokea Tarehe 23 Mwezi wa 4
JUMA TOKEA TAREHE 23 MWEZI WA 4
Wimbo 45 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 19 fu. 12-20, kisanduku kwenye uku. 152 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 29-31 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 31:15-26 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Mungu Anawaomba Wakristo Washike Sabato ya Kila Juma? (Dak. 5)
Na. 3: Je, Kweli Maria Alikuwa Bikira Alipomuzaa Yesu?—rs uku. 182 fu. 1-2 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 130
Dak. 10: Matangazo. Kwa muda wa dakika moja ao mbili, onyesha habari fulani katika magazeti ya mwezi wa 5 zinazoweza kupendeza watu katika eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Mnara wa Mlinzi, omba wasikilizaji watoe maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na maandiko wanayoweza kusoma. Ufanye vivyo hivyo kuhusu habari za kwanza za Amkeni!, na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu Mnara wa Mlinzi ao Amkeni! nyingine. Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa. Ikiwa hamujapata magazeti hayo, mutumie yale muliyopata hivi karibuni.
Dak. 25: “Mikusanyiko Yetu ya Wilaya—Inashuhudia Kabisa Kweli.” Maulizo na majibu. Muzungumuzie mambo yanayohusu eneo lenu katika habari “Mukusanyiko wa Wilaya 2012—Mambo ya Kukumbuka.” Munapozungumuzia fungu la 9, omba mwangalizi wa utumishi aeleze mipango iliyochukuliwa ili kugawia watu mialiko.
Wimbo 119 na Sala