Programu ya Juma Tokea Tarehe 30 Mwezi wa 4
JUMA TOKEA TAREHE 30 MWEZI WA 4
Wimbo 125 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 20 fu.1-7, kisanduku kwenye uku. 156 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 32-34 (Dak. 10)
Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi (Dak. 20)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 82
Dak. 10: Matangazo. Kwa kutumia njia ya kuanzisha mazungumuzo iliyo kwenye ukurasa wa 8, mufanye onyesho kuhusu namna funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi wa 5.
Dak. 10: Namna ya Kushinda Vizuizi Kuhusu Dini. Mazungumuzo yenye kutegemea kitabu Kutoa Sababu, ukurasa wa 66, fungu la 5, mupaka ukurasa wa 69, fungu la 2. Mufanye onyesho moja fupi ao maonyesho mawili mafupi.
Dak. 10: Maandiko Yanayofuata Yanatufundisha Nini? Mazungumuzo. Musome Matendo 4:1-13, 18-20. Muzungumuzie namna habari hiyo inavyoweza kutusaidia katika kazi yetu ya kuhubiri.
Dak. 5: “Sarafu Mbili Zenye Samani Ndogo Sana.” Hotuba.
Wimbo 126 na Sala