Programu ya Juma Tokea Tarehe 28 Mwezi wa 5
JUMA TOKEA TAREHE 28 MWEZI WA 5
Wimbo 133 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 21 fu. 8-13, kisanduku kwenye uku. 169 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yeremia 49-50 (Dak. 10)
Na. 1: Yeremia 49:28-39 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Jina la Yehova Ni “Mnara Wenye Nguvu” Katika Njia Gani?—Met. 18:10 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Maria Alipanda Mbinguni Akiwa na Mwili Wake Wenye Nyama?—rs uku. 184 fu. 3–uku. 185 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 68
Dak. 10: Matangazo. Kwa kutumia njia mbalimbali za kuanzisha mazungumuzo zinazoonyeshwa kwenye ukurasa wa 4, mufanye onyesho kuhusu jinsi funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya mwezi wa 6.
Dak. 25: “Mashahidi wa Yehova—Watu Wanaotenda kwa Imani, Sehemu ya 2: Kuangaza Nuru.” Maulizo na majibu. Tumia kwa kifupi fungu la kwanza ili kufanya utangulizi na fungu la mwisho ili kumalizia. Ikiwa video hii haijapatikana, mutumie kitabu Wapiga-Mbiu ili kujibu maulizo.
Wimbo 93 na Sala