Programu ya Juma Tokea Tarehe 2 Mwezi wa 7
JUMA TOKEA TAREHE 2 MWEZI WA 7
Wimbo 116 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 23 fu. 1-8, kisanduku kwenye uku. 180 (Dak. 25)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 6-10 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 7:14-27 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Jinsi Yonathani Alivyoonyesha Mufano Muzuri wa Unyenyekevu—1 Sam. 23:16-18 (Dak. 5)
Na. 3: Je, Mukate na Divai Vinabadilishwa Hakika na Kuwa Mwili na Damu ya Kristo?—rs uku. 205 fu. 1–uku. 206 fu. 2 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 64
Dak. 5: Matangazo.
Dak. 10: Jinsi ya Kufikiri Pamoja na Musikilizaji—Sehemu ya 1. Mazungumuzo yanayotoka katika kitabu Shule ya Huduma, ukurasa wa 251 mupaka ukurasa wa 253, fungu la 2. Mufanye onyesho moja fupi ao maonyesho mawili.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Jinsi ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 7. Mazungumuzo. Chagua habari mbili ao tatu, na kwa muda wa sekonde 30 ao dakika moja, eleza sababu gani habari hizo zinaweza kupendeza watu wa eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Munara wa Mulinzi, omba wasikilizaji watoe maulizo yenye kuamusha kupendeza wanayoweza kuuliza watu, na maandiko wanayoweza kuwasomea. Ufanye vivyo hivyo kuhusu habari za kwanza za Amkeni!, na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu Munara wa Mulinzi ao Amkeni! nyingine. Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 31 na Sala