Programu ya Juma Tokea Tarehe 3 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 3 MWEZI WA 9
Wimbo 6 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
bt sura ya 26 fu. 1-8, kisanduku kwenye uku. 204 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Ezekieli 39-41 (Dak. 10)
Na. 1: Ezekieli 40:17-31 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ni Katika Njia Gani Mbalimbali Macho Yetu Yanaweza Kutudanganya?—Mwa. 3:2-6 (Dak. 5)
Na. 3: Wakristo Wanapokataa Kuunga Mukono Upande Wowote, Je, Hilo Linamaanisha Kwamba wao Hawawajali Jirani zao?—rs uku. 139 fu. 3 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 50
Dak. 10: Jinsi ya Kufikiri Pamoja na Musikilizaji—Sehemu ya 2. Mazungumuzo yanayotoka katika kitabu Shule ya Huduma, kuanzia ukurasa wa 253, fungu la 3, mupaka mwisho wa ukurasa wa 254. Mufanye onyesho fupi kuhusu jambo moja ao mambo mawili yanayotoka katika habari hii.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Mawazo Kuhusu Namna ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 9. Mazungumuzo. Kwa muda wa segonde 30 ao 60, eleza sababu gani watu wa eneo watapendezwa na magazeti yetu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Munara wa Mulinzi, omba wasikilizaji wapendekeze maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na kisha uwaombe wapendekeze maandiko wanayoweza kusoma. Fanya vivyo hivyo kuhusu habari za kwanza za Amkeni! na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu habari nyingine moja ya Munara wa Mulinzi ao ya Amkeni! Mufanye onyesho kuhusu namna kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 34 na Sala