Programu ya Juma Tokea Tarehe 5 Mwezi wa 11
JUMA TOKEA TAREHE 5 MWEZI WA 11
Wimbo 115 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 1 fu. 1-7 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Yoeli 1-3 (Dak. 10)
Na. 1: Yoeli 2:17-27 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Ni Katika Njia Gani Tunaweza Kutumia Shauri Linalotolewa Katika Methali 22:3? (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Tunaweza Kuonyesha Heshima kwa Tengenezo la Yehova?—rs uku. 301 fu. 8-12 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 86
Dak. 10: Wanawake wanaotangaza habari njema ni jeshi kubwa. (Zab. 68:11) Mazungumuzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2012, ukurasa wa 117, fungu la 2, mupaka ukuraza wa 118, fungu la 2; na ukurasa wa 130, fungu la 1, mupaka ukurasa wa 131, fungu la 3. Uwaombe wasikilizaji watoe maelezo kuhusu mambo wanayojifunza.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Jinsi ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 11. Mazungumuzo. Kwa segonde 30 ao 60 eleza sababu gani magazeti hayo yatawapendeza watu wa eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Munara wa Mulinzi, omba wasikilizaji watoe maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na maandiko wanayoweza kusoma. Ufanye vivyo hivyo kuhusu habari za kwanza za Amkeni!, na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu Munara wa Mulinzi ao Amkeni! nyingine. Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Wimbo 105 na Sala