Programu ya Juma Tokea Tarehe 3 Mwezi wa 12
JUMA TOKEA TAREHE 3 MWEZI WA 12
Wimbo 128 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 2 fu. 7-13, kisanduku kwenye uku. 20 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Nahumu 1–Habakuki 3 (Dak. 10)
Na. 1: Habakuki 2:1-14 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Kwa Nini Tuseme kwa Usadikisho Tunapofundisha Kweli?—2 Tim. 1:7, 8 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Tunaweza Kupata Ujuzi wa Kweli na Hekima ya Kweli?—rs uku. 74 fu. 2–uku. 75 fu. 1 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 106
Dak. 10: Mapendekezo Kuhusu Namna ya Kutolea Watu Magazeti Katika Mwezi wa 12. Mazungumuzo. Kwa muda wa segonde 30 ao 60 eleza sababu gani magazeti hayo yatawapendeza watu wa eneo lenu. Kisha, kwa kutumia habari za kwanza za Munara wa Mulinzi, omba wasikilizaji watoe maulizo yenye kuamusha kupendezwa wanayoweza kuuliza watu, na maandiko wanayoweza kusoma. Ufanye vivyo hivyo kuhusu habari za kwanza za Amkeni!, na ikiwa wakati unaruhusu, ufanye hivyo kuhusu Munara wa Mulinzi ao Amkeni! nyingine. Mufanye onyesho kuhusu jinsi kila gazeti linavyoweza kutolewa.
Dak. 10: Mahitaji ya kutaniko lenu.
Dak. 10: Mambo Tuliyokutana Nayo Tulipokuwa Tukitoa Trakte. Mazungumuzo yatakayoongozwa na mwangalizi wa utumishi. Omba wasikilizaji waeleze mambo yenye kufurahisha waliyokutana nayo walipokuwa wakiwatolea watu trakte katika Mwezi wa 11. Wahubiri wawili waliopata matokeo mazuri wafanye maonyesho kuhusu namna walivyowatolea watu trakte nyumba kwa nyumba.
Wimbo 96 na Sala