Programu ya Juma Tokea Tarehe 25 Mwezi wa 2
JUMA TOKEA TAREHE 25 MWEZI WA 2
Wimbo 120 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr Sura ya 6 fu. 1-6 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Marko 5-8 (Isipite dak. 10)
Kujikumbusha Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi (Dak. 20)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 135
Dak. 5: “Je, Na Mimi Nisimamishe?” Mazungumuzo.
Dak. 10: Ujumbe Ambao Ni Lazima Tuutangaze—“Kutoa Ushahidi Kuhusu Yesu.” Hotuba ya kutoa kwa uchangamufu inayotegemea kitabu Shule ya Huduma, kuanzia kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 275 mupaka mwisho wa ukurasa wa 278.
Dak. 15: Yehova Anatupatia Nguvu ya Kuhubiri. (Flp. 4:13) Uwaulize wahubiri wawili ao watatu wanaoshiriki kwa bidii katika mahubiri hata ikiwa wana matatizo ya afya. Wanapambana na magumu gani? Ni nini kinachowasaidia waepuke kuwa katika hali ya kuvunjika moyo yenye kuendelea? Kutaniko limewasaidia namna gani? Wamepata faida gani kwa kuhubiri kwa ukawaida?
Wimbo 42 na Sala