Programu ya Juma Tokea Tarehe 30 Mwezi wa 9
JUMA TOKEA TAREHE 30 MWEZI WA 9
Wimbo 99 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 14 fu. 20-25 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Wagalatia 1-6 (Dak. 10)
Na. 1: Wagalatia 1:18–2:10 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Sababu Gani Kuna Dini Nyingi Sana?—rs uku. 58 fu. 5–uku. 59 fu. 4 (Dak. 5)
Na. 3: Sababu Gani Yehova Anastahili Kuabudiwa—Ufu. 4:11 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 108
Dak. 10: Unaweza Kumualika Muhubiri Mwengine? Mazungumuzo. Kisha, mufanye onyesho kuhusu namna funzo la Biblia linavyoweza kuanzishwa Siku ya Posho ya kwanza ya Mwezi wa 10.
Dak. 10: Njia za Kuhubiri Habari Njema—Kuwahubiria Watu wa Kila Luga. Mazungumuzo yanayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 104, fungu la 2, mupaka ukurasa wa 105, fungu la 3. Mufanye onyesho moja.
Dak. 10: Tusihangaike. (Mt. 6:31-33) Mazungumuzo yanayotegemea Kitabu cha Mwaka cha 2013, ukurasa wa 138, fungu la 3, mupaka ukurasa wa 139, fungu la 2; ukurasa wa 147, fungu la 1. Uwaombe ndugu na dada waeleze mambo ambayo wamejifunza kutokana na habari hiyo.
Wimbo 40 na Sala