Watchtower—MAKTABA KU ENTERNETE
Watchtower
MAKTABA KU ENTERNETE
Kiswahili (Congo)
  • BIBLIA
  • VICHAPO
  • MIKUTANO
  • km 9/13 uku. 3
  • Unaweza Kumualika Muhubiri Mwengine?

Hakuna video juu ya habari yenye umechagua.

Pole, kulikuwa kosa fulani wakati video ilikuwa inajaribu kusoma.

  • Unaweza Kumualika Muhubiri Mwengine?
  • Huduma Yetu ya Ufalme—2013
  • Habari za Kufanana na Zile
  • Kujifunza Mambo Mengi Kupitia Wahubiri Wenye Uzoefu
    Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Jinsi ya Kuwazoeza Wapya Kuhubiri
    Huduma Yetu ya Ufalme—2010
  • Tukomalishe Ufundi Wetu wa Kuhubiri—Uwazoeze Wahubiri Wapya
    Huduma Yetu ya Ufalme—2015
  • Iweni Wenye Bidii kwa Lililo Jema!
    Huduma Yetu ya Ufalme—2003
Ona Habari Zaidi
Huduma Yetu ya Ufalme—2013
km 9/13 uku. 3

Unaweza Kumualika Muhubiri Mwengine?

Katika makutaniko mengi, kuna wahubiri ambao wanahubiri kwa muda mufupi kwa sababu wana magonjwa yasiyopona ao kwa sababu wamezeeka. (2 Kor. 4:16) Unaweza kumualika muhubiri aliye katika hali kama hiyo ili ajiunge nawe unapoongoza funzo la Biblia? Ikiwa muhubiri huyo hawezi kutoka nyumbani, labda unaweza kuongoza funzo hilo nyumbani kwake. Je, unaweza mara kwa mara kumualika muhubiri ambaye ana matatizo ya afya ili uhubiri pamoja naye nyumba chache katika mahubiri ya nyumba kwa nyumba ao kurudilia mutu mumoja ao watu wawili? Wahubiri wengi wenye kuzeeka wana ufundi mwingi katika mahubiri. Kwa hiyo, si wao tu ambao watafaidika kwa kutiwa moyo, wewe pia utafaidika na uzoefu wao. (Rom. 1:12) Zaidi ya hilo, Yehova atakulipa kwa kuwa unajikaza kuonyesha upendo kwa njia hiyo.​—Met. 19:17; 1 Yoh 3:17, 18.

    Vichapo vya Swahili (Congo) (1996-2025)
    Toka
    Ingia
    • Kiswahili (Congo)
    • Tumia Wengine
    • Préférences
    • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
    • Kanuni za Matumizi
    • Kanuni za Kutunza Siri
    • Paramètres Kuhusu Kutunza Siri
    • JW.ORG
    • Ingia
    Tumia Wengine