Programu ya Juma Tokea Tarehe 14 Mwezi wa 10
JUMA TOKEA TAREHE 14 MWEZI WA 10
Wimbo 32 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
jr sura ya 15 fu. 7-12 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Wafilipi 1-4–Wakolosai 1-4 (Dak. 10)
Na. 1: Wafilipi 3:17–4:9 (Isipite dak. 4)
Na. 2: Je, Inafaa Mutu Kuiacha Dini ya Wazazi Wake?—rs uku. 60 fu. 4–uku. 61 fu. 2 (Dak. 5)
Na. 3: Namna Gani Sala Inaweza Kutusaidia Kushinda Vishawishi?—Lu 11:9-13; Yak. 1:5 (Dak. 5)
□ Mukutano wa Utumishi:
Wimbo 68
Dak. 15: Umoja Wetu wa Ulimwenguni Pote Unamutukuza Yehova. Hotuba inayotegemea kitabu Tengenezo, ukurasa wa 165, fungu la 2, mupaka kichwa kidogo kwenye ukurasa wa 168. Omba ndugu na dada waeleze mambo waliyosoma katika vichapo vyetu yanayoonyesha namna umoja na upendo wa Mashahidi wa Yehova ulivyotoa ushahidi.
Dak. 15: “Kampanye ya Kuwatolea Watu Trakte Habari ya Ufalme Na. 38 Itafanywa Katika Mwezi wa 11!” Maulizo na majibu. Mupatie kila muhuzuriaji Trakte Habari ya Ufalme Na. 38. Umuombe mwangalizi wa utumishi aeleze mipango iliyofanywa ili kutolea watu trakte hiyo katika eneo lote la kutaniko. Kwa kutumia namna ya kuanzisha mazungumuzo iliyo kwenye ukurasa wa 4, mufanye onyesho kuhusu namna ya kutolea watu Trakte Habari ya Ufalme.
Wimbo 53 na Sala