Programu ya Juma la Tarehe 19 Mwezi wa 1
JUMA LA TAREHE 19 MWEZI WA 1
Wimbo 47 na Sala
□ Funzo la Biblia la Kutaniko:
cl sura ya 19 fu. 1-8 (Dak. 30)
□ Masomo ya Huduma ya Kiteokrasi:
Usomaji wa Biblia: Waamuzi 1-4 (Dak. 8)
Na. 1: Waamuzi 3:1-11 (Isipite dak. 3)
Na. 2: Namna Gani Unaweza Kujifunza Juu ya Mungu?—igw uku. 4 fu.1-4 (Dak. 5)
Na. 3: Ahithofeli (Ahithophel)—Kichwa: Yehova Anazuia Mipango ya WasalitR2i—it-1-F uku. 64 (Dak. 5)
Mukutano wa Utumishi:
Tungo la Mwezi ‘Tumutumikie Bwana kwa Unyenyekevu Mukubwa Zaidi’. —Matendo 20:19.
□Wimbo 77
Dak. 10: Unatumia Kijitabu Musaada wa Kujifunza Neno la Mungu? Mazungumuzo yenye kutegemea maulizo yanayofuata: (1) Namna gani kijitabu Musaada wa Kujifunza kinatusaidia wakati tunasoma (a) Waamuzi 16:1-3 (b) Luka 6:17, na (c) Waroma 15:19? (2) Namna gani tunaweza kutumia kijitabu Musaada wa Kujifunza ili kitusaidie kuelewa muzuri maneno kama vile (a) “omeri” na “efa (Kut. 16:32, 36),” (b) “talanta (Mt. 25:15),” na (c) “Abibu” na “Nisani (Kum. 16:1)”? Malizia kwa kuwatia moyo wasikilizaji wote watumie kijitabu hicho.
Dak. 10: Ili Kumutumikia Bwana Inaomba Uvumilivu na Kuchukua Hatua. Mazungumuzo yenye kutegemea Kitabu cha Mwaka wa 2014, ukurasa wa 59, fungu la 1, mupaka ukurasa wa 62, fungu la 1; na ukurasa wa 67, fungu la 2. Waombe wasikilizaji waeleze mambo wamejifunza kutokana na habari hizo.
Dak. 10: “Uwe Muhubiri Mwenye Kufanya Maendeleo.” Maulizo na majibu.
Wimbo 20 na Sala